forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
517 B
Markdown
16 lines
517 B
Markdown
|
# muda na bahati huwaathiri wao wote
|
||
|
|
||
|
"kinachotokea na kitakapotokea huwaathiri wote"
|
||
|
|
||
|
# huwaathiri wao wote
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "wao wote" inamaanisha mbio, vita, mkate, utajiri, na upendeleo.
|
||
|
|
||
|
# kama vile samaki ... kama ndege ... Kama wanyama, wanadamu
|
||
|
|
||
|
Kifo huwashika wanadamu wakati wasiotarajia, kama vile watu wanavyokamata wanyama wakati wasipotarajia.
|
||
|
|
||
|
# katika nyakati mbaya ambazo ghafla huwaangukia
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "katika hali mbaya ambayo inawatokea ghafla" au 2) "kwa kifo kinachowapata ghafla."
|