forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
586 B
Markdown
24 lines
586 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Wamenifanya kuwa na wivu
|
||
|
|
||
|
Hapa "wamenifanya" ina maana ya Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# kile ambacho sio mungu
|
||
|
|
||
|
"ambayo ni miungu ya uongo"
|
||
|
|
||
|
# mambo yao yasiyo na maana
|
||
|
|
||
|
Unaweza kuweka wazi ambayo "vitu" ni nini. "sanamu zisizo na maana"
|
||
|
|
||
|
# wale ambao sio taifa
|
||
|
|
||
|
"watu ambao hawapo miongoni mwa kundi moja la watu"
|
||
|
|
||
|
# taifa pumbavu
|
||
|
|
||
|
Maneno "wapumbavu" na "msiojitambua" ina maana ya kitu kimoja na inasisitiza jinsi watu walivyo wapumbavu kwa kutomtii Yahwe. "nyie watu wapumbavu kabisa"
|