forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
633 B
Markdown
20 lines
633 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema.
|
||
|
|
||
|
# Alaaniwe mwanamume
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Na Yahwe amlaani mtu"
|
||
|
|
||
|
# mke wa baba yake
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanishi mama wa mwanamume, lakini mke mwingine wa baba yake.
|
||
|
|
||
|
# amechukua haki za baba yake
|
||
|
|
||
|
Mwanamume anapomuoa mwanamke, ni yeye pekee ana haki halali ya kulala naye. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "amechukua haki halali za baba yake"
|
||
|
|
||
|
# atakayelala na aina yoyote ya mnyama
|
||
|
|
||
|
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "anayelala na aina yoyote ya mnyama kwa namna ambayo mwanamume hulala na mwanamke"
|