forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
397 B
Markdown
12 lines
397 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# utii sauti ya Yahwe Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Hapa lugha nyingine ya "sauti ya Yahwe" ina maana ya kile anachosema. "tii kile Yahwe Mungu wako anachosema"
|
||
|
|
||
|
# ninawaamuru
|
||
|
|
||
|
Musa anawaamuru. Walawi wapo pale kukubaliana na Musa, lakini ni yeye peke yake anayezungumza.
|