forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
697 B
Markdown
24 lines
697 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# mlipuko wa damu
|
||
|
|
||
|
Hapa "damu" uwakilisha mtu ambaye aliyeuwawa. "mlipuko wa damu" ni ndugu wa karibu wa mtu aliyeuwawa. Huyu ndugu anawajibika kwa kumwadhibu muuaji.
|
||
|
|
||
|
# mmoja aliyechukua maisha
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "yule aliyemwua mtu mwingine"
|
||
|
|
||
|
# kwa hasira kali
|
||
|
|
||
|
mtu aliye na hasira sana anazungumzwa kama hasira ni kitu kinachoweza kuwa moto.
|
||
|
|
||
|
# Na anampiga
|
||
|
|
||
|
"Na mlipuko wa damu huwapiga mtu aliyemwua mtu mwingine"
|
||
|
|
||
|
# ingawa mtu huyo hakuwastahili kufa, na hivyo hastahili adhabu ya kifo tangu hakumchukia jirani yake kabla ya hili kutokea
|
||
|
|
||
|
"ingawa mtu huyo hakuwastahili kufa tangu alimuuwa kwa ajali mtu mwingine na hakuwa adui wake"
|