forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
783 B
Markdown
28 lines
783 B
Markdown
|
# kumbuka ulikuwa mtumwa
|
||
|
|
||
|
Hapa "u" inajumuisha babu ambao walikuwa watumwa kwa miaka mingi.
|
||
|
|
||
|
# kwamba Yahwe Mungu wenu aliwakomboa
|
||
|
|
||
|
Yahwe kuwaokoa watu wa Israeli kutoka utumwa huko Misri husemwa kama Yahwe alilipa pesa kuwaokoa watu wake kutoka utumwani.
|
||
|
|
||
|
# kama anasema kwenu, "Sitaenda mbali nanyi"
|
||
|
|
||
|
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
|
||
|
|
||
|
# nyumba yako
|
||
|
|
||
|
Hapa "nyumba" uwakilisha familia ya mtu.
|
||
|
|
||
|
# basi unapaswa kuchukua uma na kuifanya kupitia sikio lake kwa mlango
|
||
|
|
||
|
"basi utaweka mkono wako karibu na fremu ya mlango wa mbao kwenye nyumba yako, na kisha weka fikra za uma kupitia sikio ndani ya kuni"
|
||
|
|
||
|
# uma
|
||
|
|
||
|
kikali, kifaa chenye ncha utumiwa kufanya shimo
|
||
|
|
||
|
# milele
|
||
|
|
||
|
"mpaka mwisho wa maisha yake" au "mpaka afe"
|