forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
603 B
Markdown
20 lines
603 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
|
||
|
|
||
|
# Mtaondoa makundi ya watu wote
|
||
|
|
||
|
"Ninakuamuru kuharibu kabisa makundi ya watu wote"
|
||
|
|
||
|
# jicho lako halitawaonea huruma
|
||
|
|
||
|
Hii ni amri. Musa azungumza kama vile jicho lionavyo lilikuwa jicho lenyewe. "Usiruhusu kile unachoona kusababisha kuwahurumia" au "usiwe na huruma kwa sababu ya kile unachofanya kinawaumiza"
|
||
|
|
||
|
# hautaabudu
|
||
|
|
||
|
"kamwe kuabudu"
|
||
|
|
||
|
# kwamba itakuwa mtego kwako
|
||
|
|
||
|
Kama watu wanaabudu miungu mingine, watakuwa kama mnyama aliyeshikwa kwenye mtengo wa mawindo, na hawataweza kutoroka.
|