forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.0 KiB
Markdown
36 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# 4Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza,
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya ishirini na nne iko karibu na katikati ya mwezi wa Aprili matika kalenda ya Magharibi.
|
||
|
|
||
|
# akiwa na mkanda kiunoni mwake
|
||
|
|
||
|
"na alikuwa amevaa mkanda"
|
||
|
|
||
|
# Ufazi
|
||
|
|
||
|
Ufazi ni sehemu. sehemu yake haijulikanai.
|
||
|
|
||
|
# Mwili wake ulikuwa kama kito
|
||
|
|
||
|
Mwlii wake uling'ara kwa mwanga wa bluu na njano kana kwamba ulikuwa umetengenezwa kwa kito.
|
||
|
|
||
|
# kito
|
||
|
|
||
|
jiwe la thamani lenye rangi ya bluu au njano.
|
||
|
|
||
|
# na sura yake ilikuwa kama radi
|
||
|
|
||
|
Sura yake iling'aa kama mwali wa radi unavyong'ara.
|
||
|
|
||
|
# Macho yake yalikuwa kama miali ya tochi
|
||
|
|
||
|
Macho yake yalikuwa yanang'aa kwa mwanga kana kwamba yalikuwa miali ya tochi.
|
||
|
|
||
|
# mikono yake na miguu yake ilikuwa kama shaba iliyosafishwa
|
||
|
|
||
|
Mikono yake na miguu yake ilikuwa iking'aa kana kwamba ilikuwa imetengenezwa kwa shaba iliyosafishwa.
|
||
|
|
||
|
# Sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati mkubwa wa watu
|
||
|
|
||
|
Sauti yake ilikuwa na nguvu sana kwamba ilikuwa ni kundi kubwa la watu wengi likiongea kwa sauti ya juu.
|