forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
684 B
Markdown
24 lines
684 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Danieli anaendelea kumwomba Bwana kwa ajili ya watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kwako Bwana, kuna uadilifu
|
||
|
|
||
|
Nomino dhahania "uadilifu" yaweza kuelezwa kwa kutumia kitenzi. "Bwana, wewe unatenda kwa uadilifu"
|
||
|
|
||
|
# Hata hivyo, kwetu kuna aibu katika nyuso zetu, kwa..
|
||
|
|
||
|
Nomino dhania "aibu" yaweza kuelezwa kama kitenzi. "Lakini kwetu, tumeaibika kwa ajili ya hayo ambayo tumeyatenda"
|
||
|
|
||
|
# kwetu sisi
|
||
|
|
||
|
neno "sis" linamjumuisha Danile na waisraeli, lakini halimjumuishi Mungu.
|
||
|
|
||
|
# kuna aibu katika nyuso
|
||
|
|
||
|
Nahau hii ina maana ya aibu yao inaonekana kwa watu wote.
|
||
|
|
||
|
# kwasababu ya udanganyifu mkubwa tulioufanya
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa tumekusaliti wewe " au "kwasababu tumekuwa si waaminifu kwako"
|