forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
486 B
Markdown
20 lines
486 B
Markdown
|
# akamkanyaga
|
||
|
|
||
|
Kukanyaga kitu fulani kwa kutembea juu yake.
|
||
|
|
||
|
# kutoka katika nguvu zake
|
||
|
|
||
|
"kondoo kutoka kwa mbuzi kwasababu ya nguvu zake"
|
||
|
|
||
|
# mbuzi alikua akawa mkubwa
|
||
|
|
||
|
"mbuzi alikuwa mkubwa na mwenye nguvu"
|
||
|
|
||
|
# pembe kubwa ilivunjwa,
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Kitu fulani kiliivunja pembe kubwa"
|
||
|
|
||
|
# kuelekea pepo nne za mbingu.
|
||
|
|
||
|
Mahali hapa "pepo nne za mbinguni" ni nahau inayorejelea pembe kuu nne (kaskazini, mashariki, magharibi na kusini) kutoka huko pepo huvuma.
|