forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
333 B
Markdown
12 lines
333 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mstari huu pia ni sehemu ya sala ya Danieli. Aliacha kumwongelea Mungu kwa nafsi ya tatu na alianza kutumia nafsi ya pili.
|
||
|
|
||
|
# umeyafanya yawe wazi kwetu yale tuliyokuomba
|
||
|
|
||
|
"aliniambia marafiki zangu na nilikuomba utuambie."
|
||
|
|
||
|
# umetujulisha mambo yamhusuyo mfalme
|
||
|
|
||
|
"alituambia kile ambacho mfalme alitaka kujua"
|