forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
646 B
Markdown
32 lines
646 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi cha jina "yeye" linaelezea juu ya Yesu.
|
||
|
|
||
|
# na ifahamike kwenu
|
||
|
|
||
|
"Fahamu hivi" au "Hii ni muhimu kwako kujua"
|
||
|
|
||
|
# Ndugu
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia lugha ua ndugu kuona Wayahudi na wafuasi wa dini ya kiyahudi wote ni ndugu.
|
||
|
|
||
|
# ifahamike kwenu, ndugu, kupitia mtu huyu, msamaha wa dhambi
|
||
|
|
||
|
"tunawatangazia kuwa dhambi zenu zinaweza kusamehewa kupitia Yesu."
|
||
|
|
||
|
# Msamaha wa dhambi
|
||
|
|
||
|
"Msamaha" inaweza kutafasiriwa kuwa; Mungu anaweza kusamehe dhambi zako"
|
||
|
|
||
|
# Kwa yeye kila aaminiye
|
||
|
|
||
|
"Kila mmoja anayemwamini yeye"
|
||
|
|
||
|
# Kwa yeye kila aaminiye anahesabiwa haki
|
||
|
|
||
|
"Yesu anamhesabia haki kila mmoja anayemwamini"
|
||
|
|
||
|
# Kila kitu
|
||
|
|
||
|
"dhambi zote"
|