forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
585 B
Markdown
32 lines
585 B
Markdown
|
# muda uliopangwa
|
||
|
|
||
|
Huu ni muda Mungu aliokuwa amepanga kusitisha tauni.
|
||
|
|
||
|
# elfu sabini
|
||
|
|
||
|
"70,000"
|
||
|
|
||
|
# kutoka Dani hadi Beersheba
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha taifa lote
|
||
|
|
||
|
# 6Malaika aliponyosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili kuuharibu
|
||
|
|
||
|
"mkono" unawakilisha nguvu ya malaika.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe akabadilisha nia yake kuhusu madhara
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha Yahwe alisitisha baya alilokuwa amemruhusu malaika kufanya.
|
||
|
|
||
|
# Basi rudisha mkono wako
|
||
|
|
||
|
"mkono" unamaanisha nguvu ya malaika.
|
||
|
|
||
|
# Arauna
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamme
|
||
|
|
||
|
# sakafu ya kupulia
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa ni sehemu ngumu, iliyo na ubapa mahali nafaka zilikuwa zinapulwa.
|