forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
521 B
Markdown
20 lines
521 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea
|
||
|
|
||
|
# Unanivika nguvu kama mkanda kwa vita
|
||
|
|
||
|
Hapa nguvu atoazo Yahwe zafananishwa na mkanda unaomwezesha Daudi kufanya mambo yenye nguvu.
|
||
|
|
||
|
# unawaweka chini yangu wanaoinuka kinyume changu
|
||
|
|
||
|
"ulinisaidia kuwashinda walioshindana nami"
|
||
|
|
||
|
# migongo ya shingo za adui zangu
|
||
|
|
||
|
Maana yake yaweza kuwa 1) Daudi kuona migogo ya adui zake walipokimbia au 2) Daudi kuwaka mguu wake nyuma ya shingo ya adui zake baada ya kuwashinda.
|
||
|
|
||
|
# niliwaangamiza kabisa
|
||
|
|
||
|
"Niliwaangazi kabisa"
|