forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
438 B
Markdown
12 lines
438 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho
|
||
|
|
||
|
# Ndipo njia za maji zilipoonekana... pumzi ya pua zake
|
||
|
|
||
|
Yahwe alipopiga kelele katika shambulio lake kwa adui za Daudi, inalinganishwa na nguvu zake za kufanya mambo katika vilindi vya bahari na nchi. Hii inaonesha uwezo wake mkuu na hasira yake kali.
|
||
|
|
||
|
# misingi... ilifunuliwa
|
||
|
|
||
|
Daudi analinganisha hasira ya Yahwe na miondoka ya ardhi.
|