forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
723 B
Markdown
32 lines
723 B
Markdown
|
# Sheba akapita
|
||
|
|
||
|
Hapa "Sheba" inarejerea kwa wote Sheba na jeshi lake.
|
||
|
|
||
|
# Abeli wa Bethi Maaka
|
||
|
|
||
|
"Abeli wa Bethi Maaka." Majina yote yanahusu sehemu moja na yaweza kuunganishwa. Ni mji karibu na kabila ya Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Wa Waberite
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la kundi la watu.
|
||
|
|
||
|
# na pia kumfuata Sheba
|
||
|
|
||
|
"Walimfuata Sheba pia"
|
||
|
|
||
|
# kujenga buruji
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha walitumia silaha ya kubomolea kuungonga ukuta. Chombo hiki kilikuwa ni mti mrefu wenye ncha or kuwekewa ncha ya chuma. Kilishikiliwa na watu kadhaa ambao gonga ncha kwenye ukuta.
|
||
|
|
||
|
# Walimpata
|
||
|
|
||
|
"Yoabu na askari walimpata"
|
||
|
|
||
|
# dhidi ya ukuta kinyume cha mji
|
||
|
|
||
|
"dhidi ya ukuta wa mji"
|
||
|
|
||
|
# Sikilizeni, sikilizeni tafadhari
|
||
|
|
||
|
Kurudia kwa neno "sikilizeni" kunasisitiza ombi la mwanamke.
|