forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
954 B
Markdown
32 lines
954 B
Markdown
|
# Abishai
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamme
|
||
|
|
||
|
# Seruya
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamme.
|
||
|
|
||
|
# Je Shimei asife kwa hili kwa vile alivyomlaani mtiwa mafuta wa Yahweh?
|
||
|
|
||
|
Seruya alimkasirikia Shimei kwa kumlaani Daudi na anasema anapaswa kufa.
|
||
|
|
||
|
# Mtiwa mafuta wa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hii inamrejerea Daudi. Inamaana kwamba Daudi alikuwa mfalme aliyetiwa mafuta na Yahwe
|
||
|
|
||
|
# Nifanye nini nanyi... hata leo mkawa adui zangu?
|
||
|
|
||
|
Daudi anatumia swali hili kumkemea Abishai. Hii inamaanisha kwamba hawakuwa na sababu ya kuwa adui.
|
||
|
|
||
|
# Je mtu yeyote atauawa leo katika Israeli? Kwani sijui kama leo mimi ni mfalme juu ya Israeli?
|
||
|
|
||
|
Daudi anatumia swali kuendelea kumkemea Abishai. Kumaanisha "Hakuna mtu atakayeuawa leo katika taifa la Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Je kuna mtu atakayeuawa
|
||
|
|
||
|
Kifungu "kuuawa" inamaanisha kunyongwa au kuuawa.
|
||
|
|
||
|
# Kwani sijui kama leo mimi ni mfalme juu ya Israeli?
|
||
|
|
||
|
Maana yake yaweza kuwa 1) "Ninajua kwamba mimi bado ni mfalme wa Israeli." 2) "Leo mimi ni mfalme juu ya Israeli!"
|