forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
438 B
Markdown
16 lines
438 B
Markdown
|
# Utiifu
|
||
|
|
||
|
Hisia nzito ya kusaidia na upendo
|
||
|
|
||
|
# Je huu ndiyo utiifu wako kwa rafiki yako? Kwa nini haukwenda pamoja naye?
|
||
|
|
||
|
Maswali haya yanaulizwa kumkosoa Hushai.
|
||
|
|
||
|
# Yule ambaye Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hushai anamrejerea Absalomu
|
||
|
|
||
|
# Yule ambaye... huyo ndiye mtu... pamoja naye
|
||
|
|
||
|
Hapa Hushai anamrejerea Absalomu katika nafsi ya tatu kuchukua msisitizo kutoka kwake na kuelekeza kwa Yahwe na watu aliowachagua. Hii inaweza kuandikwa katika nafsi ya pili.
|