forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
688 B
Markdown
28 lines
688 B
Markdown
|
# Ikawa baada ya miaka miwili mizima
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa miaka miwili imepita na inatambulisha tukio linalofuata katika habari. Kifungu "mikaa kamili" inamaanisha miaka miwili kamili.
|
||
|
|
||
|
# Wakata manyoya
|
||
|
|
||
|
Hawa ni watu wanaokata manyoya ya kondoo
|
||
|
|
||
|
# Baal Hazori
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mahali.
|
||
|
|
||
|
# Basi tazama
|
||
|
|
||
|
Hiki ni kifungu inachotumika kuonesha umakini kwa ajili ya kile kinachofuata.
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Absalomu anajiita "mtumishi wako" kuonesha heshima.
|
||
|
|
||
|
# Anawakatao kondoo manyoya
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa desturi kwa watu katika Israeli kufanya sherehe baada ya kukata kondoo wao manyoya.
|
||
|
|
||
|
# mfalme aweza
|
||
|
|
||
|
Japokuwa na aongea na mfalme baba yake, anamwita "mfalme" badala ya "wewe" kuonesha heshima yake.
|