forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
618 B
Markdown
32 lines
618 B
Markdown
|
# Kisha Daudi akamshinda Hadadezeri
|
||
|
|
||
|
Hapa wote "Daudi" na "Hadadezeri" wanawakilisha majeshi yao. "Daudi na jeshi lake walimshinda Hadadezeri na jeshi lake"
|
||
|
|
||
|
# Hadadezeri... Rehobu
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Soba
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la jimbo katika Shamu.
|
||
|
|
||
|
# Kuurudisha ufalme wake
|
||
|
|
||
|
"Kurudisha utawala juu ya mkoa" au "kulishika tena mkoa"
|
||
|
|
||
|
# askari wa miguu ishirini elfu
|
||
|
|
||
|
"20,000 watu wa miguu"
|
||
|
|
||
|
# Daudi akawakata miguu
|
||
|
|
||
|
Hili ni tenda ambapo sehemu ya nyuma ya miguu inakatwa ili farasi wasiweze kukimbia.
|
||
|
|
||
|
# kutunza ya kutosha
|
||
|
|
||
|
"kutenga ya kutosha" au kutunza ya kutosha"
|
||
|
|
||
|
# vibandawazi mia moja
|
||
|
|
||
|
"vibanda wazi 100"
|