forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
373 B
Markdown
8 lines
373 B
Markdown
|
# Kisha akashinda
|
||
|
|
||
|
Hapa "yeye" inarejea kwa Daudi anayewakilisha askari wake.
|
||
|
|
||
|
# akawapima watu wakekwa mstari... akapima mistari miwili ya kuuwa, na mstari mmoja kamili wa kuacha hai.
|
||
|
|
||
|
Hapa "mstari" ni "kamba." Daudi aliwafanya askari walale chini ili wapimwe na kuwekwa katika makundi matatu. Waliokuwa katika makundi mawili waliuawa, na katika la tatu, waliachwa hai.
|