forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
851 B
Markdown
24 lines
851 B
Markdown
|
# Kwa nini hakuogopa kumwua mtiwa mafuta wa Yahwe... mkono?
|
||
|
|
||
|
Mbalaga ni swali linalotumika kumkemea mtu. inaweza kutafsiriwa kama taarifa. Ulipaswa kumwogopa Yahwe na usingemwua mtiwa mafuta wake... mkono!"
|
||
|
|
||
|
# Mfalme aliyetiwa mafuta na Yahwe
|
||
|
|
||
|
Usemi huu unasimama badala ya Sauli, ambaye alikuwa amechaguliwa na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# mkono wako
|
||
|
|
||
|
Kirai hiki kinaonesha kufanya jambo fulani wewe mwenyewe, wewe "mwenyewe" au "binafsi"
|
||
|
|
||
|
# Mpige chini
|
||
|
|
||
|
Nahau hii inamaanisha "alimwua."
|
||
|
|
||
|
# Damu yako i juu ya kichwa chako
|
||
|
|
||
|
Hapa "damu" inaonesha "kumwaga damu" na inahusishwa na kifo. Hapa "kichwa chako" inamwonesha yule mtu na inamaanisha kwamba anawajibika. Yaani "unahusika kwa kifo chako mwenyewe" au "Umesababisha kifo chako mwenyewe"
|
||
|
|
||
|
# kinywa chako kimeshuhudia dhidi yako
|
||
|
|
||
|
Hapa "kinywa chako mwenyewe" inamwone yule mtu mwenyewe. "Umejishuhudia mwenyewe"
|