forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
982 B
Markdown
24 lines
982 B
Markdown
|
# Hasira ya Yahwe ikawaka juu ya israeli
|
||
|
|
||
|
Yahwe kuwa na hasira na Israeli inazungumziwa kana kwamba hasira yake ilikuwa moto uliokuwa unawaka. "Kisha Yahwe akawa na hasira sana na Israeli"
|
||
|
|
||
|
# akaendelea kuwakabidhi kwenye mikono ya Hazaeli mfalme wa Shamu na kwenye mikono ya Ben Hadadi mwana wa Hazaeli
|
||
|
|
||
|
Hapa "wao" inarejea kwa Israeli na "mkono" inarejea kwenye nguvu kuwatawala. "kumruhusu Hazaeli mfalme wa Shami, na Ben Hadadi, mwanaye, kuwashinda mara kwa mara Waisraeli katika vita"
|
||
|
|
||
|
# kumsihi Yahwe
|
||
|
|
||
|
"kumuomba Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# aliona mateso ya Israeli, vile mfalme wa Shamu alivyokuwa akiwatesa
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawi yanamaaanisha kitu kimoja na yamerudiwa kusisitiza. "ukandamizaji" inamaanisha kama "mfalme wa Shami alivyokuwa akiwakandamiza."aliona mara kwa mara mfalme wa Shami alikuwa akiwakandamiza Israeli"
|
||
|
|
||
|
# mkombozi
|
||
|
|
||
|
"mtu wa kuwaokoa"
|
||
|
|
||
|
# walikimbia kutoka kwenye mkono wa Washami
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" unarejea kwa nguvu ya kuwatawala. "aliwawezesha kuwa huru kutoka nguvu ya Shami"
|