forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
767 B
Markdown
28 lines
767 B
Markdown
|
# Hazaeli mfalme wa Shamu akatekwa ... Hazaeli akarudi kuishambulia
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa jeshi la Hazaeli pia kama kwa Hazaeli. "Hazaeli mfalme wa Shamu na jeshi lake wakashambuliwa ... Kisha wakarudi kushambulia"
|
||
|
|
||
|
# Hazaeli
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mfalme wa nchi ya Siria.
|
||
|
|
||
|
# kuichukua
|
||
|
|
||
|
"kushinda na kuitawala"
|
||
|
|
||
|
# Yehoshafati na Yehoramu na Ahazia, baba zake
|
||
|
|
||
|
Hawa watu walikuwa wafalme waliopita wa yuda.
|
||
|
|
||
|
# iliyotengwa
|
||
|
|
||
|
"weka wakfu"
|
||
|
|
||
|
# dhahabu iliyokuwa imepatikana katika vyumba vya kuhifadhi"
|
||
|
|
||
|
"dhahabu ambayo ambayo ilikuwa imehifadhiwa kwenye vyumba vya kuhifadhi"
|
||
|
|
||
|
# Kisha Hazaeli akaondoka kutoka Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Zawadi Yoashi alizompatia Hazaeli zilimshawishi asiishambulie Yerusalemu. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Basi Hazaeli aliacha kuishambulia Yerusalemu na kuondoka"
|