forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.2 KiB
Markdown
37 lines
1.2 KiB
Markdown
|
# Elisha akajibu
|
||
|
|
||
|
Elisha alikuwa akimjibu Elisha mfalme wa Israeli swali.
|
||
|
|
||
|
# Ungeweza kuwaua wale ambao uliokuwa umewachukua mateka kwa upanga na upinde wako?
|
||
|
|
||
|
Elisha anauliza hili swali lisilo na majibu kusisitiza kwa mfalme kwamba asiwaue hawa watu.
|
||
|
|
||
|
# ulikuwa umechukuliwa mateka na upanga wako na upinde
|
||
|
|
||
|
Hii inawazungumzia maaskari wa mfalme kuwachukua watu mateka kana kwamba mfalme mwenyewe alikuwa ndiye aliye wateka. "maaskari wako walikamatwa mateka pamoja na panga zao na mikuki"
|
||
|
|
||
|
# pamoja na upanga wako na upinde
|
||
|
|
||
|
Hizi ni silaha zilizokuwa zikitumika katika vita. "katika vita pamoja na upanga wako na upinde"
|
||
|
|
||
|
# Weka mkate na maji mbele yao, kwamba wanaweza kula na kunywa
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkate" unarejea kwa chakula kwa ujumla. "Kuwapatia chakula kula na maji kunywa,"
|
||
|
|
||
|
# nenda kwa bwana wao
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa mfalme wa Shami.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo mfalme aliandaa chakula kwa ajili yao
|
||
|
|
||
|
Mfalme aliwaagiza watumishi wake
|
||
|
kuandaa chakula. Hakuandaa chakula mwenyewe. "Kisha mfalme aliwaagiza watumishi wake kuandaa chakula kingi kwa ajili yao"
|
||
|
|
||
|
# Hale makundi
|
||
|
|
||
|
"Hayo makundi"
|
||
|
|
||
|
# halikurudi kwa mda mrefu katika nchi ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba hawakuishambulia Israeli kwa mda mrefu. "kuacha kuishambulia nchi ya Israeli kwa mda mrefu"
|