forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
740 B
Markdown
20 lines
740 B
Markdown
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Hili neno limetumika hapa kuleta usikivu wa mtu kwa kile kitakachosemwa.
|
||
|
|
||
|
# hakuna Mungu katika dunia yote isipokuwa katika Israeli
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Mungu wa Israeli ndiye Mungu pekee wa kweli!"
|
||
|
|
||
|
# Kama Yahwe aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake
|
||
|
|
||
|
"Kwa hakika kama nijuavyo kwamba Yahwe yu hai, abaye nimesimama mbele zake." Bila shaka hapa Elisha analinganisha kwamba Yahwe yu hai kwa hakika kwamba hatapokea zawadi yeyote kutoka kwa Naamani. Hii ni njia ya kufanya agano la sherehe.
|
||
|
|
||
|
# ambaye nimesimama mbele zake
|
||
|
|
||
|
Hapa kumtumikia Yahwe inazungumziwa kama kusimama katika uwepo wake. "ambaye namtumikia"
|
||
|
|
||
|
# sintopokea kitu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana kwamba hatapokea zawadi zozote. "sintachukua zawadi zozote"
|