forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
527 B
Markdown
16 lines
527 B
Markdown
|
# roho ya ubaya kutoka kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa "roho ya ubaya" inaweza kutaja "roho inayosababisha shida" au "roho ya ubaya." Tazama jinsi ulivyotafasiri hii katika 16"14.
|
||
|
|
||
|
# roho ya ubaya kutoka kwa Mungu ikamwingia Sauli
|
||
|
|
||
|
Maneno "ikamuingia" yanamaanisha roho ya madhara yalisaidia Sauli. Katika kesi hii ina maana kwamba umesababisha Sauli kuwa na wasiwasi na kutenda mambo. Tazama jinsi ulivyotafasiri maneno sawa katika 10:5.
|
||
|
|
||
|
# na akachukiza
|
||
|
|
||
|
"Naye akajifanya kichaa"
|
||
|
|
||
|
# Bwana alikuwa pamoja nae
|
||
|
|
||
|
"Bwana alikuwa pamoja na Daudi"
|