forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
712 B
Markdown
36 lines
712 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Msimuliajia nasimulia kusuhu wafua vyuma wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Hakuna hata mhunzi aliyeonekana
|
||
|
|
||
|
"Hakuna mtu atakayempata mhunzi"
|
||
|
|
||
|
# Mhuzni
|
||
|
|
||
|
Mhuzi ni mtu anayetengeneza vifaa vya chuma na silaha.
|
||
|
|
||
|
# kunoa jembe lake
|
||
|
|
||
|
Jembe ni kifaa cha chuma ambacho hutumika kulimia ardhini kwa ajili ya kupanda mazao.
|
||
|
|
||
|
# sululu ... shoka ... mundu
|
||
|
|
||
|
Hivi ni vifaa vya kwenye bustani
|
||
|
|
||
|
# Sululu
|
||
|
|
||
|
Ni kifaa chenye ncha kali kinachotumika kupasulia udongo mgumu.
|
||
|
|
||
|
# mundu
|
||
|
|
||
|
Ni kifaa cha ncha kali kinachotumika kukatia majani na nafaka.
|
||
|
|
||
|
# Theluthi mbili ya shekeli
|
||
|
|
||
|
Shekeli imegawanywa katika sehemu tatu na mbili ya tau imetolewa.
|
||
|
|
||
|
# kunyoosha michokoo
|
||
|
|
||
|
Kuondoa mchokoo na kumfanya ng'ombe anyooke ili aweze kutumika.
|