forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
754 B
Markdown
28 lines
754 B
Markdown
|
# mimi ni mwanamke mwenye roho ya huzuni
|
||
|
|
||
|
"Mimi ni mwanamke mwenye huzuni sana"
|
||
|
|
||
|
# nimemimina nafsi yangu mbele za Bwana
|
||
|
|
||
|
"Namwambia Bwana hisia zangu za ndani"
|
||
|
|
||
|
# mjakazi wako
|
||
|
|
||
|
Hana anajizungumzia mwenyewe kwa kuonesha unyenyekevu.
|
||
|
|
||
|
# nimekuwa nikiongea kutokana na maumivu na masikitiko yangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni namna nyingine ya kusema kuwa ana "roho ya huzuni" Hii inaweza kutafsiriwa kama "Ninazungumza kwa sababu nina huzuni sana na hasimu wangu ananidhihaki sana"
|
||
|
|
||
|
# maumivu na masikitiko
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yote yanaonesha kuwa Hana amekosa raha na anahuzuni kwa sababu ya kudhihakiwa na Hasimu wake.
|
||
|
|
||
|
# Maumivu
|
||
|
|
||
|
Haya ni mambo ambayo Penina alimfanyia ya kumuumiza.
|
||
|
|
||
|
# Masikitiko
|
||
|
|
||
|
Hana anaelezea maumivu na aibu anayoipata kwa sababu ya namna Hana anavyomfanyia.
|