forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
356 B
Markdown
20 lines
356 B
Markdown
|
# nitawakabidhi kwako
|
||
|
|
||
|
"nitakupa ushindi juu yao"
|
||
|
|
||
|
# Baali Perazimu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la sehemu
|
||
|
|
||
|
# kwa mkono wangu
|
||
|
|
||
|
Hii ya husu vifaa vya Daudi. "kutumia jeshi langu"
|
||
|
|
||
|
# kama vile mpasuko wa mafuriko ya maji.
|
||
|
|
||
|
Nguvu na ushindi wa jeshi la Daudi wafananishwa na mpasuko wa mafuriko ya maji. "kwa urahisi"
|
||
|
|
||
|
# wateketezwe kwa moto
|
||
|
|
||
|
"kuchoma miungu yao ya uongo"
|