forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
373 B
Markdown
12 lines
373 B
Markdown
|
# Yehoyakini
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya tafsiri zina "Yekonia," ambayo ni mbadala wa "Yehoyakini."
|
||
|
|
||
|
# watekwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa cheo kilichopewa Yehoyakini kwasababu alichukuliwa matekani. Ingawa, baadhi ya tafsiri za eleza hilo neno kama "Asiri," jina la mmoja wa wanae.
|
||
|
|
||
|
# YehoYakini ... Shealtieli, Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|