bou_amo_text_reg/05/21.txt

1 line
213 B
Plaintext

\v 21 Nakimwa, nazidharau sikunkuu zenu, naichukia mikutano yenu yadini. \v 22 Hata kama mwaniavia sadaka ya kuteketeza na sadaka yaunga, nkinanizihokee, wala kuzitamani kwe sadaka za ushiika wa wanyama wekunonao.