bou_1ki_text_reg/18/05.txt

1 line
337 B
Plaintext

\v 5 Ahabu akamwamba Obadia, "Emboka mwe sii yose na mwe chemchem zoseza mazi na nkoongo. Yamkini twadaha kupata mazi na mani ili tiwaokoe awa falasi na nyumbu, ili tusekuwakosa wanyama woze," \v 6 Kwa iyo wakaisawanya sii gatigati yao ili wemboke gatigati yahe wakaonda mzai. Ahabu akaita sia yakwe mwenye na Obadia nae akaita sia yake.