swc_jhn_text_reg/01/49.txt

1 line
307 B
Plaintext

\v 49 Natanaeli akasema kiongozi uko mtoto wa Mungu, \v 50 Yesu akajibu vile mina kuambiya kama nili kuona chili yamuti njo mana una itika? Na bado utaona mambo mingi kushinda hii, \v 51 Akasema tena kwa kweli bila bongo utaona mbingu kifunguka na malaika bata shuka na kupanda ju ya mtoto wa mutu (Adamu).