swc_jhn_text_reg/01/46.txt

1 line
306 B
Plaintext

\v 46 Natanaeli akapinga akisema kitu kizuri kita weza kutoka mu nazareti Filipo akajibu kuya uangaliye. \v 47 Yesu aka ona Natanaeli akasema kabisa uyu ni mutu wa isreaeli mwenyi hasema bongo. \v 48 Filipo aka shangaliya ni je Yesu ana ni juma? Yesu aka jiba mbele bakuyite Filipo nilikuona chini ya muti.