swc_jhn_text_reg/01/43.txt

2 lines
326 B
Plaintext

\v 43 Siku ya kufata Yesu wakati Yesu alitafuta enda Galilaya,
akakuta Filipo aka mwambiya unitate. \v 44 Filipo alikuwa mutu wa bethsaida muji wa Andreya na Petro. \v 45 Filipo akokuta Natanaeli aka mwambiya juya mutu mwenyi sherya ya Musa ili semaka, na ma lobi bali kubaliya ya tume muona Yesu mtoto wa Yusufu wa nazareti.