swc_jhn_text_reg/01/37.txt

1 line
288 B
Plaintext

\v 37 kisha baka fata Yesu bote ba wili, kwa ushuhunda wa Yohana. \v 38 Yesu aka baona bana kuya kwake aka bauliza muna tafuta nini? Baka rudisha kiongozi,unakuwaka wapi? \v 39 Aka jibu mukuye muone, baka kuya na baka ona baka ikala naye ile siku ju saana ili waka ina pita (magaribi).