\v 26 Yohane akabaambiya«Niko na batiza na mayi, lakini kuka mwnyi hamujuwe. \v 27 yengo anakuya nyuma ya ngu na siwezi ata kufungula kamba ya viyatoyake. » \v 28 Mambo hii ita pita mu betani fasi yenyi Yohane alikuwa ana batiza katika yordani.