swc_jhn_text_reg/15/23.txt

1 line
295 B
Plaintext

\v 23 Mweyi Ku ni chukiya, ana chukiya Baba yangu. \v 24 Singe fanya katikati ya batu kazi yenyi mwingine haya fanyaka, zambi hainge kuwa; sasa bote banaona tu chykiya miye na Baba yangu. \v 25 Bina pita hivi juu yakutumiza mandiko gisi ili andikiwa mu sheria zabo: bana ni chukiya bila sababu.