swc_jhn_text_reg/15/05.txt

1 line
309 B
Plaintext

\v 5 Niko muti, matawi. Mwenyi iko ndani yangu na miye yake atazala matunda mingi sana, bila miye hamu wezi fanya kitu. \v 6 Kama mutu haiko ndani yangu nisawa tawi yenyi kukawuka ata tupwa mutoto na kulungula sawa kuni. \v 7 Kama muko ndani yangu na neno yangu ndani yenu, mulumbe byote mupanda muta bipata.