initial conversion
This commit is contained in:
parent
1b2cf3bd95
commit
bcf4e64a71
|
@ -1,3 +1,3 @@
|
|||
# sw_obs-tn
|
||||
# Swahili OBS translation notes
|
||||
|
||||
Swahili OBS translation notes
|
||||
STR https://git.door43.org/unfoldingWord/SourceTextRequestForm/issues/173
|
||||
|
|
|
@ -0,0 +1,31 @@
|
|||
# Mwanzo
|
||||
|
||||
Huu ni, "mwanzo wa vitu vyote" kabla ya kuwepo kitu chochote isipokuwa Mungu.
|
||||
|
||||
# Aliumba
|
||||
|
||||
Hapa inatumika kumaanisha kutengeneza kitu pasipokutumia kitu.
|
||||
|
||||
# Ulimwengu
|
||||
|
||||
Hii inajumuisha kila kitu ambacho Mungu aliumba duniani na mbinguni, vyote vinavyo onekana na visivyo onekana.
|
||||
|
||||
# Dunia
|
||||
|
||||
Neno "Dunia" linamaanisha ulimwengu wote ambao watu wanaishi.
|
||||
|
||||
# Giza
|
||||
|
||||
Giza maana yake kutokuwepo na mwanga kabisa, kwasababu Mungu alikuwa bado hajaumba mwanga.
|
||||
|
||||
# Utupu
|
||||
|
||||
Mungu bado hajaumba kitu chochote isipokuwa Dunia iliyofunikwa na maji.
|
||||
|
||||
# Hakuna kilichokuwa kimeumbwa
|
||||
|
||||
Hapakuwepo na uumbaji wa vitu isipokuwa maji iliyofunika dunia.
|
||||
|
||||
# Roho wa Mungu
|
||||
|
||||
Roho wa Mungu, wakati mwingine huitwa Roho Mtakatifu, alikuwepo toka mwanzoni, alitembea juu ya dunia ili aumbe vyote alivyo kusudia.
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# Mungu akasema
|
||||
|
||||
Mungu aliumba mwanga kwa kutamka neno.
|
||||
|
||||
# Na iwe
|
||||
|
||||
Hii ni amri iliyotokea mara moja kwasababu ilinenwa na Mungu. Inaweza kutafsiriwa kwa njia ya kawaida kuwa ni neno lenye uhakika wa kutokea. Kwa mfano, unaweza kutafsiri kama, "Mungu akasema, 'Pawepo na Mwanga.'"
|
||||
|
||||
# Mwanga
|
||||
|
||||
Huu ni mwanga maalum ambao Mungu aliumba-jua halikuumbwa hadi baadaye.
|
||||
|
||||
# Ikawa nzuri
|
||||
|
||||
Maneno haya yalitumika mara kwa mara katika historia ya uumbaji, na kusisitiza kuwa kila hatua ya uumbaji ilikuwa ikimpendeza Mugu na kutimiza mipango na kusudi lake.
|
||||
|
||||
# Uumbaji
|
||||
|
||||
Neno hili limetumika hapa kumaanisha siku sita ambazo Mungu alivifanya vitu vyote vilivyoko.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Siku ya pili
|
||||
|
||||
Kazi za Mungu za uumbaji ulifuata utaratibu, makusudi na mpangilio. Vitu alivyoumba kwa kila siku zilijenga na kutegemea vitu vya siku iliyotangulia.
|
||||
|
||||
# Mungu akasema
|
||||
|
||||
Mungu aliumba anga kwa kusema neno.
|
||||
|
||||
# Kuumba
|
||||
|
||||
Mungu aliumba anga pasipokuwepo na kitu.
|
||||
|
||||
# Anga
|
||||
|
||||
Neno hili linamaanisha sehemu yote ya juu ya Dunia, hii ikiwa ni pamoja na hewa tunayovuta na mbingu.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Siku ya tatu
|
||||
|
||||
Ni siku iliyofuata kwenye mtiririko ambapo Mungu aliandaa Dunia kwa Maisha.
|
||||
|
||||
# Mungu akasema
|
||||
|
||||
Mungu aliumba nchi kavu kwa kuamuru.
|
||||
|
||||
# dunia
|
||||
|
||||
neno hili limetumika kumaanisha sehemu vumbi au udongo, ambayo ardhi iliyo kavu imetegenezwa.
|
||||
|
||||
# Kuumba
|
||||
|
||||
Neno hili linatumika kumaanisha, kutengeneza kitu pasipo kutumia kitu chochote.
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# Mungu akasema
|
||||
|
||||
Mungu aliumba mimea yote kwa kuamuru.
|
||||
|
||||
# Nchi na izae
|
||||
|
||||
Hii ni amri iliyotokea mara moja kwa sababu Mungu alinena.
|
||||
|
||||
# Aina zote
|
||||
|
||||
Hii ni aina mbali mbali ya mimea na miti.
|
||||
|
||||
# Kuumba
|
||||
|
||||
Neno hili linatumika kumaanisha, kutengeneza kitu pasipo kutumia kitu chochote.
|
||||
|
||||
# Kilikuwa chema
|
||||
|
||||
Neno hili limetumika mara nyingi katika historia ya uumbaji, hii ikisisitiza ya kuwa kila hatua ya uumbaji ilimpendeza Mungu na kutimiza lengo na kusudi yake.
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# siku ya nne
|
||||
|
||||
Ni siku ilyofuata kwa mpangilio wa uumbaji wa siku ambayo Mungu aliumba.
|
||||
|
||||
# Mungu akasema
|
||||
|
||||
Mungu aliumba jua, mwezi, na nyota kwa kuamuru.
|
||||
|
||||
# mwanga
|
||||
|
||||
Ni kitu ambacho kinang'aa angani na kutoa mwanga kwa dunia.
|
||||
|
||||
# usiku na mchana, nyakati na miaka
|
||||
|
||||
Mungu aliumba mianga tofauti tofauti ili kutofautisha sehemu ya muda kuanzia ndogo hadi kubwa, na kuziweka zijirudia kwa wakati wote hadi mwisho wa wakati.
|
||||
|
||||
# Kuumba
|
||||
|
||||
neno hili linatumika kumaanisha, kutegeneza kitu pasipo kutumia kitu chochote.
|
|
@ -0,0 +1,23 @@
|
|||
# siku ya tano
|
||||
|
||||
Mungu aliendelea na mpangilio wake wa uumbaji ambayo alianza siku nne zilizopita.
|
||||
|
||||
# Mungu akasema
|
||||
|
||||
Mungu aliziumba ndege na vitu viishivyo majini kwa kuamuru.
|
||||
|
||||
# Kila kiumbe kinacho ishi na kwenda majini
|
||||
|
||||
Mungu hakuumba tu samaki, bali kila aina ya viumbe vyenye kuishi na kwenda ndani ya maji. Kila mmoja anaishi kwa sababu Mungu alichagua kuumba.
|
||||
|
||||
# ndege wote
|
||||
|
||||
Mungu hakuumba tu aina moja ya ndege, lakini aliumba aina mbalimbali za ndege wazuri ajabu wenye kutofautiana maumbo, ukubwa na rangi.
|
||||
|
||||
# ni vyema
|
||||
|
||||
Neno hili limetumika mara nyingi katika histora ya uumbaji, hii ikisisitiza kuwa kila hatua ya uumbaji ilikwenda kama ilivyokusudiwa kutokana na mpango wa hekima ya Mungu na kusudi lake.
|
||||
|
||||
# aliwabariki
|
||||
|
||||
Mungu aliongea nia yake kuwa wangebarikiwa na kwamba mambo yao yote yaengekwenda vema katika dunia aliowaweka.
|
|
@ -0,0 +1,31 @@
|
|||
# siku ya sita
|
||||
|
||||
Jambo lililofuata, mpangilio katika mfuatano wa siku za matendo ya uumbaji.
|
||||
|
||||
# Mungu akasema
|
||||
|
||||
Neno alilo liongea Mungu ndiyo njia ambayo wanyama waliumbwa.
|
||||
|
||||
# aina mbambali
|
||||
|
||||
Hii inamaanisha vitu vingi tofauti tofauti, lakini vyenye mpangilio.
|
||||
|
||||
# wanyama wa nchi
|
||||
|
||||
Ni aina mbalimbali ya wanyama walioishi juu ya aridhi, mbali na ndege, au wanyama walioishi majini.
|
||||
|
||||
# wanyama wa shambani
|
||||
|
||||
Ni aina ya wanyama wanaishi kwa amani na watu juu ya ardhi, kwa jina lingine ni wale wanyama wa kufugwa.
|
||||
|
||||
# wanaotambaa juu ya nchi
|
||||
|
||||
Hii inajumisha jamii ya wanyama wote watambaao kama reptilia na wadudu.
|
||||
|
||||
# porini
|
||||
|
||||
Ni aina ya wanyama ambao mara nyingi hawaishi kwa amani na watu, hii ni kwa sababu wanaogopa watu, au ni hatari kwao.
|
||||
|
||||
# ni vyema
|
||||
|
||||
Neno hili limetumika mara nyingi katika histora ya uumbaji, hii ikisisitiza kuwa kila hatua ya uumbaji ilikwenda kama ilivyokusudiwa kutokana na mpango wa hekima ya Mungu na kusudi lake.
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# Na tumfanye
|
||||
|
||||
Hii inaonyesha makusudi ya Mungu, kufanya maamuzi ya kumtengeneza mtu kwa namna ya aina yake na kwa makusudi fulani. Inawezekana kutafsiriwakama, "Tutafanya."
|
||||
|
||||
# Sisi...yetu...sisi
|
||||
|
||||
Biblia inafundisha kuwa kuna Mungu mmoja, lakini kwa maneno ya Agano la Kale "Mungu" iko katika neno la wingi. Na Mungu hutumia maneno ya wingi pale anapoongelea juu yake. Wengine wanafahamu hii kama njia maalumu ya kuelezea ukuu wa Mungu, na wengine hufahamu hii kama Mungu Baba akiongea kwa Mwanaye na Roho Mtakatifu, ambao wote ni Mungu.
|
||||
|
||||
# kwa mfano wetu
|
||||
|
||||
Mfano, ni taswira inayowakilisha sura ya kitu halisi au mtu. Watu walifanywa kwa namna ambayo wanaweza kuonyesha na kuwakilisha baadhi ya tabia na sifa za Mungu.
|
||||
|
||||
# kama sisi
|
||||
|
||||
Watu wanazishriki baadhi ya tabia za Mungu ila siyo tabia zote. Maneno haya yanaweza kutafsiriwa kuwa mwanadamu anafanana na Mungu, ila hayuko sawa na Mungu na au jinsi alivyo.
|
||||
|
||||
# mamlaka
|
||||
|
||||
Mungu aliwapa watu uhuru na nguvu ya kutawala, kuongoza na kuamua namna dunia na wanyama watakavyotumika.
|
|
@ -0,0 +1,31 @@
|
|||
# alichukua vumbi
|
||||
|
||||
Mungu alimfanya mwanadamu kwa kutumia mavumbi kutoka ardhini. Neno hili pengine linaweza kuwa tofauti na neno lililotumika mara kwa mara la neno dunia.
|
||||
|
||||
# alimfanya
|
||||
|
||||
Neno hili linaonyesha kuwa Mungu mwenyewe alimtengeneza mwanadamu. Hii ni sawa na mwanadamu anavyo tengeneza kitu kwa mikono waye mwenyewe. Hakikisha neno lingine tofauti na "uumbaji" linatumika, hii ni tofauti na alivyo umba vitu vingine vyote ambavyo alifanya hivyo kwa kuamuru kwa kutamka tu.
|
||||
|
||||
# mtu
|
||||
|
||||
Kwa wakati huu aliyetengenezwa ni mwanaume tu, mwanamke alitengenezwa baadaye kwa njia nyingine.
|
||||
|
||||
# akampulizia uhai
|
||||
|
||||
Neno hili inaonyesha Nafsi ya Mungu, tendo la ukaribu la kuhamisha uhai wake kwenda kwenye mwili wa Adamu, linganisha na namna mtu anavyotoa hewa.
|
||||
|
||||
# uhai
|
||||
|
||||
Katika tendo hili, Mungu alimpulizia mwanadamu uhai wa mwili na roho ndani ya mtu.
|
||||
|
||||
# adamu
|
||||
|
||||
Jina la adamu ni sawa na neno katika agano la kale lenye maana ya "mtu" na ni sawa na neno la udongo/mavumbi ambao alifanywa kwayo.
|
||||
|
||||
# bustani
|
||||
|
||||
Ni eneo la ardhi lililopandwa miti na mimea kwa kusudi-mara nyingi kuzalisha chakula au kufanya sehemu kuwa nzuri.
|
||||
|
||||
# aitunze
|
||||
|
||||
Kuendeleza bustani kwa kulimia, kupalilia, kunyeeshea, kuvuna, kupanda n.k.
|
|
@ -0,0 +1,27 @@
|
|||
# katikati
|
||||
|
||||
Sehemu ya katikati hutia mkazo na umuhimu wa miti hizo miwili.
|
||||
|
||||
# bustani
|
||||
|
||||
Ni eneo la ardhi lililopandwa miti n amimea kwa kusudi -mara nyingi kuzalisha chakula au kufanya sehemu kuwa nzuri.
|
||||
|
||||
# Mti wa uzima
|
||||
|
||||
Mtu alaye matunda katika mti huu hatakufa kamwe.
|
||||
|
||||
# mti wa ujuzi wa mema na mabaya
|
||||
|
||||
Matunda ya mti huu humuwezesha mtu kutambua mema na mabaya.
|
||||
|
||||
# ujuzi
|
||||
|
||||
Kuelewa au kufahamu kwa kuwa na uzoefu nao.
|
||||
|
||||
# mema na mabaya
|
||||
|
||||
Mabaya ni kinyume cha mazuri. Kama ambavyo mazuri humaanisha yale mazuri yanayompendeza Mungu, mabaya humaanisha kitu chochote ambacho hakimpendezi Mungu.
|
||||
|
||||
# kufa
|
||||
|
||||
Katika hali hii, atakufa kimwili na kiroho.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# siyo vema
|
||||
|
||||
Hii ni mara ya kwanza katika uumbaji kwa kitu kutokuwa kizuri. Ina maanisha "bado haijawa nzuri" kwa sababu Mungu hajamaliza kazi ya kumuumba mwanadamu.
|
||||
|
||||
# peke yake
|
||||
|
||||
Adamu alikuwa mwanadamu mwenyewe, pasipo kuwapo na nafasi ya kuwa na uhusiano na mwanadamu mwingine. Na hakuweza kuwazaa watoto na kuongezeka.
|
||||
|
||||
# Msaidizi wa Adamu
|
||||
|
||||
Hapakuwepo yeyote aliyefanana kiasi cha Adamu kuweza kuungana naye kukamilisha shughuli alizopewa na Mungu. Hakuna mnyama awezaye kufanya havyo.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# usingizi mzito
|
||||
|
||||
Huu ulikuwa usingizi usio wa kawaida.
|
||||
|
||||
# akatoa ubavu mmoja na kutengeneza
|
||||
|
||||
Maneno haya, yanaonyesha kitendo cha Mungu kutoa ubavu wa Adamu na kutengeneza mwanamke.
|
||||
|
||||
# mwanamke
|
||||
|
||||
Alikuwa mwanamke wa kwanza, mwanadamu mwenye jinsia ya kike ambaye alikuwa hajatengenezwa hadi wakati ule.
|
||||
|
||||
# akamleta kwake
|
||||
|
||||
Ni Mungu mwenyewe ndiye aliyewatambulisha. Alimleta Mwanamke kwa Adamu, kama kutoa zawadi nzuri kwake.
|
|
@ -0,0 +1,23 @@
|
|||
# Hatimaye!
|
||||
|
||||
Adamu alisema hivyo kuonyesha kuwa alikuwa akisubiri kitu kama mwanamke.
|
||||
|
||||
# Kama mimi
|
||||
|
||||
Mwanamke alikuwa ni mwanadamu kama Adamu, pamoja na kwamba kulikuwepo na tofauti za umuhimu kati yao.
|
||||
|
||||
# Mwanamke
|
||||
|
||||
Neno hili linamanisha muundo wa kike ambayo siyo mwanaume.
|
||||
|
||||
# kutengenezwa kutokana na mwanaume
|
||||
|
||||
Mwanamke alitengenezwa kutokana na mwili wa Adamu.
|
||||
|
||||
# mwanaume atamuacha
|
||||
|
||||
Hii ilitamkwa kwa wakati uliopo ili kuonyesha mwenendo utakao kuwepo katika siku za baadaye. Adamu alikuwa hana mama wala baba, lakini wanaume wengine wote watakuwa nao.
|
||||
|
||||
# watakuwa mmoja
|
||||
|
||||
Mme na mke watashirikiana katika mahusiano ya karibu na kipekee, katika umoja na kujitoa kwa kila mmoja wao kwa mahusiano yanayozidi mahusiano na watu wengine wote.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Mungu alimtengeneza
|
||||
|
||||
Mungu alimtengeneza mwanaume na mwanamke kwa namna ya kipekee.
|
||||
|
||||
# kwa sura yake
|
||||
|
||||
Taswira au sura ni kiwakilishi halisi cha kitu au mtu. Mungu aliwatengeneza watu ili kuonyena na kuwakilisha baadhi ya tabia na sifa za Mungu, lakini siyo kuwa sawa na yeye.
|
||||
|
||||
# chema sana
|
||||
|
||||
Hii inaonyesha zaidi ya maneno yaliyotumika hapo nyuma ya kama ni chema, vyema. Chema sana inamaanisha kwa uumbaji wote na siyo to kwa mwanaume na mwanamke. Kila kitu ilikuwa sawasawa na kama Mungu alivyokitaka kiwe.
|
||||
|
||||
# Uumbaji
|
||||
|
||||
Siku sita ambazo Mungu alitumia kuumba kila kitu.
|
|
@ -0,0 +1,23 @@
|
|||
# siku ya saba
|
||||
|
||||
Ni siku iliyofuata baada ya siku ya sita kuisha.
|
||||
|
||||
# amemaliza kazi yake
|
||||
|
||||
Mungu alimaliza kazi ya uumbaji ila bado anafanya kazi zingine.
|
||||
|
||||
# Mungu akapumzika
|
||||
|
||||
Mungu "alipumzika" kwa sababu kazi ya uumbaji ulikamilika. Mungu hakuchoka, au si kwamba ameshindwa kuendelea.
|
||||
|
||||
# Aliibariki siku ya saba
|
||||
|
||||
Mungu alikuwa na mpango nzuri maalum kwa siku ya saba, na kwa kila siku ya saba baadaye.
|
||||
|
||||
# akaifanya takatifu
|
||||
|
||||
Hii ina maana, "Mungu alitenga" siku hii kama siku maalum. Haitatumika kama siku nyingine za wiki.
|
||||
|
||||
# ulimwengu
|
||||
|
||||
Hii inajumuisha kila kitu alihoumba Mungu hapa duniani na mbinguni, yale yanayo onekana na yasiyo onekana.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# bustani
|
||||
|
||||
Ni sehemu maalum yenye kila aina ya miti na mimea ambayo Mungu aliandaa kwa Adamu na Hawa kufurahia na kula mahali hapo.
|
||||
|
||||
# kuongea na Mungu
|
||||
|
||||
Neno "kuongea" ni kama lile la kuongea na mtu. Mungu huenda alivaa sura ya mwanadamu ili aweze kuongea na mwanaume na mwanamke kwani kifunguu hii kilionyesha kuwa waliongea uso kwa uso.
|
||||
|
||||
# haya
|
||||
|
||||
Ni hisia inayokuja kwa kujua kuwa tumefanya dhambi au tumepungukiwa kwa namna fulani.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# mwerevu
|
||||
|
||||
Mjanja na mwerevu, mwenye nia ya kudanganya.
|
||||
|
||||
# nyoka
|
||||
|
||||
Ni mnyama wa ardhini mrefu, asiye na miguu anayetembea kwa kutambaa kwa tumbo lake. Hataivyo katika historia hii ilidhihirika kwamba nyoka ni Shetani, hataivyo kwenye kipengele hii haitajulikana hivyo.
|
||||
|
||||
# Je, ni kweli Mungu alikuambia
|
||||
|
||||
Nyoka alimuuliza mwanamke kama ni kweli Mungu aliwaambia wasile katika mti wowote ndani ya bustani. Lakini alikuwa akijifanya hajui Mungu alisema nini kwa sababu alitaka kujenga shaka kwenye ufahamu wa mwanamke. Alitaka yeye aweke ulizo au shaka juu ya wema wa Mungu.
|
||||
|
||||
# matunda ya mti wowote
|
||||
|
||||
Aina zote za matunda kutoka kwa kila aina ya mti ndani ya bustani.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# matunda
|
||||
|
||||
Hatufahamu ilikuwa ni aina gani ya matunda. Tunafahamu tu kwamba ni tunda lililokuwa kwenye mti. Kwa hapa yafaa kutumia neno la jumla la tunda na siyo tunda fulani maalum.
|
||||
|
||||
# mti wa ujuzi wa mema na mabaya
|
||||
|
||||
Mwanamke alijua kwa hakika kuwa hawaruhusiwi kula matunda kutoka katika mti huo ambao utawafanya wajue mema na mabaya.
|
||||
|
||||
# mtakufa
|
||||
|
||||
Tumia neno lako la kawaida ya kufa, ni hali ya kufikia uko kwa maisha haya ya kimwili. usikwepe neno hili kwa sababu wazo la kifo linatisha.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# kama Mungu
|
||||
|
||||
Mwanaume na mwanamke tayari wamefanywa kwa namna na sura ya Mungu. Nyoka anashauri kuwa mwanamke atakuwa kama Mungu zaidi kama akijua mabaya. Hata hivyo Mungu hakukusudia yeye kuwa na ufahamu huu.
|
||||
|
||||
# kujua mema na mabaya
|
||||
|
||||
Kujua kwa njia ya uzoefu mambo yaliyo mema na mambo yaliyo mabaya, au kuwa na uwezo wa kujua kuwa jambo ni jema au baya.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# hekima
|
||||
|
||||
Mwanamke alitamani kuwa na uelewa na ufahamu kama nyoka anavyoonekana kuwa nayo, na kama aliyonayo Mungu.
|
||||
|
||||
# aliyekuwa pamoja naye
|
||||
|
||||
Hii ni habari muhimu kwani inaonyesha kuwa mwanaume alikuwepo wakati hawa anafanya maamuzi ya kula tunda.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# mara macho yao yakafunguliwa
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafsiriwa kuwa "waliona vitu kwa namna ya tofauti." Inaonyesha kuwa walijua kitu kwa mara ya kwanza. Katika lugha yenu unaweza kuwa na namna vyingine ya kuelezea hali hii.
|
||||
|
||||
# wakagundua kwamba walikuwa uchi
|
||||
|
||||
Baada ya Mwanaume na Mwanamke kutokumtii Mungu, waliona aibu kwa kuwa uchi. Ndiyo maana walijaribu kujifunika miili yao kwa kuvaa majani ya miti.
|
||||
|
||||
# kuficha miili yao
|
||||
|
||||
Mwanaume na mwanamke walijaribu kujifunika kwa kutumia majani ili kujificha mbele za Mungu.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Mungu akitembea
|
||||
|
||||
Inaonekana kuwa Mungu alikuja mara kwa mara kuwatembelea Mwanaume na Mwanamke bustanini. Hatufahamu hili lilionekanaje. Kama inawezekana ni vizuri kutumia neno linalotumika kuelezea mtu anapotembea.
|
||||
|
||||
# Uko wapi?
|
||||
|
||||
Mungu tayari alijua majibu ya swali hilo. Kusudi la swali hili ni kumfanya mwanume na mwanamke waeleze kwanini wanajificha.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Nani aliyekuambia kuwa uko uchi?
|
||||
|
||||
Au "Ulijuaje kuwa uko uchi?" Mungu tayari alijua majibu ya maswali yote. Kwa kuuliza maswali na kufuatilia alikuwa anampa Adamu nafasi ya kukiri dhambi yake ya kutokutii. Kuwa uchi siyo dhambi kwani Mungu aliwaumba hivyo. Ufahamu wao juu ya kuwa uchi ndiyo tatizo. Aibu yao ilionyesha kuwa walikuwa wametenda dhambi.
|
||||
|
||||
# amenipa tunda
|
||||
|
||||
Mwanaume alimlaumu mwanake badala ya kutubu kwa kutokutii na kuwajibika kwa kutokumtii Mungu.
|
||||
|
||||
# ulifanya nini?
|
||||
|
||||
Au "Kwanini umefanya haya?" Mungu tayari alijua majibu ya swali hilo. Kwa kuuliza swali hili, alikuwa akimpa nafasi mwanamke akubali kosa lake. Pia Mungu alimaanisha kuwa asingefanya kile alichokifanya.
|
||||
|
||||
# Nyoka alinidanganya
|
||||
|
||||
Nyoka alinidanganya au alinipotosha. Nyoka alimuambia uongo. Usitumie neno linaloonyesha kama vile alimlogo au kuwa alimpa kitu kilichompofusha macho au kumfanya akili yake achanganyikiwe na kuamua bila yeye kujua. Mwanamke alimlaumu nyoka badala ya kutubu kosa lake la kutotii na kukubali kuwajibika kwa kutomtii Mungu.
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# Umelaaniwa
|
||||
|
||||
Hii inaweza pia kutafsiriwa kama, "Nimekulaani wewe" au "Tatizo baya litakujia." Usitumie neno lenye kuashiria uchawi.
|
||||
|
||||
# mtakuwa maadui
|
||||
|
||||
Mwanamke atamchukia nyoka na nyoka atamchukia mwanamke. Na uzao wa mwanamke utachukia uzao wa nyoka na uzao wa nyoka utachukia uzao wa mwanamke.
|
||||
|
||||
# uzao wa mwanamke
|
||||
|
||||
Inamaanisha moja wa uzao wake.
|
||||
|
||||
# utakuponda kichwa
|
||||
|
||||
Uzao wa mwanamke utaharibu (kuuwa) uzao wa nyoka.
|
||||
|
||||
# utamgonga kisigino
|
||||
|
||||
Uzao wa nyoka utamjeruhi uzao wa mwanamke kwenye kisigino.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# nitaongeza uchungu wakati wa kuzaa kwako
|
||||
|
||||
Huenda lugha nyingine zinahitaji kueleea hii kama kitenzi. Unaweza kusema, "Nitakufanya usikie uchungu mkubwa wakati wa kujifungua."
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# ardhi imelaaniwa
|
||||
|
||||
Kama adhabu kwa kutokutii kwa Adamu, ardhi haitatoa tena matunda. Itampasa Adamu kufanya kazi kwa nguvu nyingi ili apate chakula ya kula.
|
||||
|
||||
# utakufa
|
||||
|
||||
Mwisho wa adhabu yao ni kifo. Kifo cha kiroho ni utengano wa sisi na Mungu. Kifo cha kimwili ni utengano na miili yetu.
|
||||
|
||||
# utarudi katika uchafu
|
||||
|
||||
Mungu alimtengeneza Adamu katika mavumbi au uchafu na kumpa maisha. Kwa sababu ya dhambi, maisha yake yatachukuliwa kutoka kwake na mwili wake utaoza na kurudia kwenye uchafu tena.
|
||||
|
||||
# Hawa, yenye kumaanisha "mtoa maisha"
|
||||
|
||||
Mungu alimpa uhai Adamu na Hawa, na uhai huo walipewa vizazi vyote kwa njia ya kuzaliwa (kuzaliwa kwa watoto).
|
||||
|
||||
# Mama wawatu wote
|
||||
|
||||
Hii inamaana kuwa atakuwa mama wa kwanza kwa vizazi vyote vya watu. Lugha nyingine zinasema "atakuwa bibi" wa watu wote e
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# kama sisi kwa kujua mema na mabaya
|
||||
|
||||
Maneno haya, yanaonyesha namna mpya ambayo Adamu na Hawa watakuwa kama Mungu. Kwasababu wamefanya dhambi, wanajua mabaya na wanaweza kufanya. Unaweza kusema "kwasababu sasa wanajua mema na mabaya."
|
||||
|
||||
# tunda
|
||||
|
||||
Ni aina ya tunda ambayo haukujulishwa au kuelezwa, kwa hiyo yafaa itafsiriwe kama tunda.
|
||||
|
||||
# mti wa uzima
|
||||
|
||||
Huu ni mti halisi wenye matunda.
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# baada ya muda mrefu
|
||||
|
||||
Simulizi hii ilitokea baada ya vizazi vingi (mamia ya miaka) baada ya uumbaji.
|
||||
|
||||
# walikuwa waovu na katili
|
||||
|
||||
Ni rahisi kusema, "walikuwa waovu na walifanya mambo ya ukatili."
|
||||
|
||||
# ikawa mbaya
|
||||
|
||||
Inaweza kueleweka kwa kusema "Watu walikuwa wakiishi kwa njia ya uovu na ubaya ambazo hazikumpendeza Mungu."
|
||||
|
||||
# Mungu aliamua kuwaangamiza
|
||||
|
||||
Hii haimaanishi kuwa dunia itaharibiwa kabisa. ila Mungu alikusudia kuwaangamiza watu wote waliomuasi Yeye na walio sababisha maovu na ukatili. Mafuriko pia itauwa wanyama na ndege wote katika nchi.
|
||||
|
||||
# Mafuriko makubwa
|
||||
|
||||
Maji mengi ambayo yengeifunika dunia, hata sehemu ambazo mara nyingi ardhi i kavu, na hata kufunika vilele vya milima mirefu.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# akapata kibali
|
||||
|
||||
Mungu alipendezwa na Nuhu, kwasababu alimcha na kumtii Mungu. Japokuwa siyo kwamba Nuhu hakuwa na dhambi, Mungu alimhurumia na akaweka mpango wa kumuokoa yeye na familia yake kutoka kwenye mafuriko makubwa. Hakikisha haitaonekana kana kwamba Nuhu alipata bahati, au kwamba ilitokea tu akaponyoka. Bali, ni mpango na chaguo la Mungu.
|
||||
|
||||
# Mafuriko
|
||||
|
||||
Maji mengi yenye kuleta maafa.
|
||||
|
||||
# mpango wa kutuma
|
||||
|
||||
Mungu alipanga kuleta mafuriko yatakayo funika dunia mzima kwa kuruhusu mvua nyingi. Hii ni kwamba alipanga kusababisha mafuriko ya mvua nyingi.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# safina
|
||||
|
||||
Safina ni aina ya mashua ambayo ni kubwa kiasi kwamba inaweza kubeba watu wanane, na wanyama wawili wawili kwa kila kundi la wanyama, pamoja na malisho yao kwa kadri ya muda wa mwaka mmoja.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Nuhu aliwaonya
|
||||
|
||||
Nuhu aliwaambia watu wote kuwa Mungu ataiangamiza dunia kwa sababu ya dhambi.
|
||||
|
||||
# wamrudie Mungu
|
||||
|
||||
Hii ilimaanisha kuacha kufanya dhambi na kuanza kumtii Mungu.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# Mungu akatuma
|
||||
|
||||
Muhu alikuwa hana haja ya kuwatafuat wanyama bali Mungu aliwatuma kwake.
|
||||
|
||||
# waliotumika kwa sadaka ya kuteketezwa
|
||||
|
||||
Kwa lugha nyingie, inaweza kuwa rahisi kusema kuwa "wanyama wale waliokubalika na Mungu kwa sadaka ya kuteketezwa." Mungu aliamua watu wamtolee wanyama kama sadaka ya kuteketezwa, hata hivyo aliwaruhusu tu Kumtolea aina fulani ya wanyama.
|
||||
|
||||
# Mungu mwenyewe alifunga mlango
|
||||
|
||||
Hii inatia mkazo kuwa ni Mungu mwenyewe ndiye aliyefunga mlango.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# mvua iakaanza kunyesha, na kunyesha , na kunyesha
|
||||
|
||||
Hii inasisitiza kuwa kulikuwa na mvua isyokuwa ya kawaida, mvua kubwa sana. Lugha nyingine huenda zina namna ya kutia mkazo.
|
||||
|
||||
# maji pia yalitokea ardhini
|
||||
|
||||
Hii iliashiria kulikuwa na maji mengi yaliyotokea ardhini.
|
||||
|
||||
# Dunia yote ikafunikwa
|
||||
|
||||
Hii ilimaanisha dunia yote ilifunikwa na maji.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Mvua kukatika
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafsiriwa kuwa, "mvua iliacha kunyesha."
|
||||
|
||||
# Safina ikatua
|
||||
|
||||
Kulikuwepo na maji mengi kutokana na mvua iliyofunika hata milima. Safina ilielea mlimani na maji yalipoanza kwenda chini, safina ilienda chini na maji na safina ikatulia kwenye mlima.
|
||||
|
||||
# miezi mitatu baadaye
|
||||
|
||||
Maji yaliendelea kupungua kwa muda wa miezi mitatu baadaye.
|
||||
|
||||
# milima ilionekana
|
||||
|
||||
Njia nyingine za kutafsiri hii ni "vilionekana" "vikatokeza", vilikuwa vimeonekana. "Inaweza ikawa rahisi kusema, "Baada ya miezi mitatu, maji yalishuka kiasi kwamba Nuhu na familia yake walianza kuona vilele vya milima.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# kunguru
|
||||
|
||||
Aina ya ndege mweusi anayeruka na kula aina ya majani na wanyama, ikiwa ni pamoja na nyama zilizooza za wanyama.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# njiwa
|
||||
|
||||
Ndege mdogo mweupe na kijivu mwenye kuruka na kula mbegu na matunda.
|
||||
|
||||
# tawi la mzabibu
|
||||
|
||||
Mti wa mzabibu una mafuta ambayo watu hutumia kupikia na kujipaka. Kama lugha yako haina neno la "tawi la mzabibu" unaweza kutafsiri kama ni tawi linalotokana na mti uitwao "mzabibu" au tawi kutoka kwa "mti wenye mafuta."
|
||||
|
||||
# maji yalianza kukauka/kwenda chini
|
||||
|
||||
Inaweza ikawa rahisi kwa lugha yako kusema, maji yaliendelea kuisha, au "kiwango cha maji kilipungua au kilishuka."
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# alisubiri wiki moja zaidi
|
||||
|
||||
Unaweza kusema, alisubiri suku zaidi, Neno "kusubiri" inaonyesha kuwa Nuhu alisubiri ili maji yakauke kabla ya kumtuma njiwa tena.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# Miezi miwili baadaye
|
||||
|
||||
Hii ina maana miezi miwili baada ya Nuhu kumuachia njiwa kutoka katika safina. Huenda ni muhimu kusema hii kwa lugha rahisi kama haijaeleweka.
|
||||
|
||||
# Muwe na watoto wengi
|
||||
|
||||
Hakikisha inaeleweka kuwa ni amri na shauku ya Mungu, unaweza kusema "Ni lazima kuwa na watoto wengi" au "Nataka ninyi muwe na watoto wengi."
|
||||
|
||||
# Muijaze nchi
|
||||
|
||||
Kama haijaeleweka, unaweza ukasema "muijaze dunia na watu" au "ili pawepo na watu wengi waishio duniani."
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# aina ya wanyama waliopaswa kutolewa dhabihu
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema hii ni, "wanyama ambao watu hutumia kumtolea Mungu dhabihu ya kuteketezwa."
|
||||
|
||||
# Mungu alifurahishwa
|
||||
|
||||
Mungu alipendezwa na Nuhu kwa kumtolea dhabihu ya kuteketezwa kwa wanyama hao.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# kamwe tena
|
||||
|
||||
Hii inamaana "hatarudia tena" au "hatarudia tena wakati wowote" mifano: "Sitalaani tena ardhi" au sitalaani tena ardhi kwa wakati wowote au kwa hakika sitalaani tena ardhi.
|
||||
|
||||
# kulaani ardhi
|
||||
|
||||
Ardhi na viumbe vingine vyote hutaabika kwa sababu ya dhambi za wanadamu.
|
||||
|
||||
# Dunia
|
||||
|
||||
Hii inamaanisha ardhi na viumbe vingine vyote vinavyoishi duniani.
|
||||
|
||||
# watu ni wenye dhambi tangu utotoni mwao
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema hii ni, "watu hufanya matendo maouvu kwa maisha yao yote."
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# upinde wa mvua
|
||||
|
||||
Huu ni upinde wa mwanga wenye rangi ambazo mara nyingi hutokea angani pale panapo kuwepo na mvua ya ngurumo.
|
||||
|
||||
# ishara
|
||||
|
||||
Ishara ni kama kitu au tukio ambayo ina maana fulani au inayoashiria kitu ambacho ni cha kweli au kitatokea.
|
||||
|
||||
# ishara ya ahadi yake
|
||||
|
||||
Kwa lugha nyingine inaweza ikawa vizuri kusema "kuonyesha kuwa ameahidi."
|
||||
|
||||
# kila wakati
|
||||
|
||||
Hakikisha inafahamika ya kuwa, ni kila wakati upinde wa mvua inaponekana na kuendelea. Huenda ni Muhimu kuongeza, "Kuanzia sasa na kila wakati."
|
||||
|
||||
# alicho ahidi
|
||||
|
||||
Hii inarejea, ile hali ambayo Mungu aliahidi kutoangamiza dunia tena kwa kutumia mafuriko.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Miaka mingi baada ya gharika
|
||||
|
||||
Vizazi vingi vimepita baada ya gharika
|
||||
|
||||
# tena, watu wengi
|
||||
|
||||
Familia ya Noah iliongezeka na kuwa na watu wengi wa kuujaza mji
|
||||
|
||||
# lugha inayofanana
|
||||
|
||||
Hii inamaanisha kulikuwa na lugha mojja hivyo watu walielewana
|
||||
|
||||
# mji
|
||||
|
||||
Ni vyema kutumia neno la jumla linalomaanisha mji kwakuwa kifungu hakitaji jina maalumu.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# mnara mrefu kuifikia mbingu
|
||||
|
||||
mnara huo ulikuwa mrefu kiasi kwamba ncha yake ilifika angani.
|
||||
|
||||
# Mbingu
|
||||
|
||||
Hii inaweza pia kutafsiriwa kama "anga."
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# alibadili lugha yao
|
||||
|
||||
Kwa ghafla Mungu aliwapa lugha tofauti tofauti na hivyo hawakuweza kuelewana tena.
|
||||
|
||||
# lugha nyingi mbalimbali
|
||||
|
||||
Badala ya kundi moja kubwa kuzungumza lugha moja, sasa waligawaanyika katika makundi mengi madogo madogo na kila kundi likawa na lugha yake.
|
||||
|
||||
# aliwatawanya watu
|
||||
|
||||
Wakati Mungu alipobadilisha lugha zao, alisababisha watu hao kutawanyika na kila kundi lilienda sehemu yake.
|
||||
|
||||
# Babeli
|
||||
|
||||
Hatujui kwa hakika mahali ambapo mji huu ulikuwa, zaidi ya kwamba ulikuwa mahali fulani huko Mashariki ya kati.
|
||||
|
||||
# alichanganya
|
||||
|
||||
Hii inaelezea jinsi ambavyo watu walichanganywa wakati ambapo hawakuweza kuelewana baada ya Mungu kubadili lugha yao.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Mamia ya miaka baadaye
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafasiriwa kama, "vizazi vingi baada ya watu kugawanyika katika lugha mbalimbali."
|
||||
|
||||
# Ondoka katika nchi yako
|
||||
|
||||
Hii inaelezea eneo ambalo Abramu alizaliwa na kuishi.
|
||||
|
||||
# na familia yako
|
||||
|
||||
Mungu alikuwa anamwita Abramu na famia yake tu, na kuwaacha ndugu zake wengine.
|
||||
|
||||
# kukufanya kuwa taifa kubwa
|
||||
|
||||
Mungu angemfanya Abramu kuwa na watoto wengi, na wangekuwa taifa kubwa na la muhimu.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# alichukua
|
||||
|
||||
lugha zingine zinaweza kusema "alileta"
|
||||
|
||||
# Mungu alimuonesha
|
||||
|
||||
kwa namna fulani Mungu alimudokezea Abramu kuhusu mahali alipopaswa kwenda. Kifungu hiki hakielezi jinsi ambavyo Mungu alimuonesha.
|
||||
|
||||
# nchi ya Kanaani
|
||||
|
||||
jina la nchi hiyo iliitwa "Kanaani."
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# ardhi yote utakayoiona
|
||||
|
||||
Kama Abramu alikuwa amesimama juu mlimani, angeweza kuona eneo kubwa.
|
||||
|
||||
# kama urithi
|
||||
|
||||
Mungu aliahidi kumpa Abramu na uzao wake ardhi kama vile baba huwa watoto wake ardhi mali.
|
||||
|
||||
# Kisha Abramu akakaa katika nchi
|
||||
|
||||
Abramu aliishi mahali pale pamoja na wote alioenda nao.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Melkizedeki
|
||||
|
||||
Melikizedeki alikuwa ni mtu mwenye mamlaka ya dini katika Kanaani ambaye alipokea sadaka na kuziwasilisha kwa Mungu.
|
||||
|
||||
# Mungu aliye juu
|
||||
|
||||
Watu wa Kanaani waliabudu miungu mimgi ya uongo. Jina "Mungu aliye juu" lilimtambulisha Mungu wa kweli ambaye Melkizedeki alimwabudu.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Miaka mingi
|
||||
|
||||
Miaka mingi ilipita tangu Mungu alipomuahidi Abramu mtoto.
|
||||
|
||||
# kama nyota angani
|
||||
|
||||
msemo huu unamaanisha kuwa uzao wa Abramu utakuwa na watu wengi kiasi kwamba hakuna atakayeweza kuwahesabu.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# pande mbili
|
||||
|
||||
sehemu hizi mbili zinaweza kuwa, watu wawili, makundi mawili ya watu, au mtu mmoja na kundi la watu. Katika hili patano lilikuwa kati ya Mungu na Abramu.
|
||||
|
||||
# kutokana na mwili wako
|
||||
|
||||
Kwa mwili wake binafsi Abramu angempa mimba mkewe, ili kwa pamoja wapate mtoto wao kwa njia ya asili. Hii ilikuwa ni ahadi ya ajabu sana maana Abramu na sara walikuwa wazee sana.
|
||||
|
||||
# Hawakuwa na mtoto wa kiume
|
||||
|
||||
Abramu hakuwa na uzao ambao wangeirithi ardhi yake.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# bado hakuwa na mtoto
|
||||
|
||||
bila mtoto, Abramu hakuwa na uzao wa kumfanya yeye kuwa taifa kubwa.
|
||||
|
||||
# Amuoe naye pia
|
||||
|
||||
Abramu angemchukua Hagai kuwa mke wake wa pili, lakini Hagai asingekuwa mke halali wa Abramu kama alivyokuwa Sarai. Bado alikuwa mtumishi wa Sarai.
|
||||
|
||||
# upate mtoto kwa ajili yangu
|
||||
|
||||
Kwa kuwa Hagai alikuwa mtumishi wa Sarai, basi Sarai angehesabiwa kuwa ndiye mama wa mtoto ambaye angezaliwa.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# ameolewa
|
||||
|
||||
Hagai akawa suria wa Abramu - mke wa pili kisheria. Lakini Hagai bado alikuwa mtumishi wa Sarai.
|
||||
|
||||
# alimuonea Hagai wivu
|
||||
|
||||
Sarai alimuonea Hagai wivu kwa sababu alipata mtoto na yeye asingeweza kupata mtoto.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# baba wa mataifa mengi
|
||||
|
||||
Abramu angekuwa na uzao mkubwa na wangekuwa na ardhi yao na kujiongoza wenyewe.
|
||||
|
||||
# Nitakuwa Mungu wao
|
||||
|
||||
Njia nyngine ya kusema hili ni, "Nitakuwa kwao Mungu watakayemwabudu."
|
||||
|
||||
# kila mtu mme katika familia
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafsiriwa kama, "kila kijana na mwanaume katika familia yako."
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# mtoto wa ahadi
|
||||
|
||||
Isaka alikuwa mtoto ambaye Mungu aliwaahidia Sarai na Abramu. Na pia atakuwa mtoto ambaye Abramu atapata uzao mwingi kwake
|
||||
|
||||
# Nitafanya agano langu na yeye
|
||||
|
||||
Hili litakuwa agano sawa na lile ambalo Mungu alifanya na Abramu.
|
||||
|
||||
# baba wa wengi
|
||||
|
||||
Kama Mungu alivyoahidi, Abrahamu atakuwa baba wa watu wengi ambao pia watakuwa mataifa mengi.
|
||||
|
||||
# Binti wa mfalme
|
||||
|
||||
Majina ya Sarai na Hagai yote yalikuwa na maana sawa yaani "Binti wa mfalme."
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# wanaume wote wa nyumbani kwake
|
||||
|
||||
Hii ina maana ya wanaume na wavulana wote ambao Abrahamu aliwatunza pamoja na watumishi wake wote wa kiume, wadogo kwa wakubwa.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# Mungu aliijaribu imani ya Abrahamu
|
||||
|
||||
Mungu alitaka Abrahamu aoneshe ya kuwa amejitoa kikamilifu kwa kwake, na kwamba angetii chochote ambacho Mungu angemwambia.
|
||||
|
||||
# Muue
|
||||
|
||||
Mungu hakutaka sadaka ya kutekezwa ya mtu. Mungu alitaka kuona ya kuwa Abrahamu alimpenda Mungu zaidi kuliko mtoto wake.
|
||||
|
||||
# alijiandaa kutoa sadaka ya kuteketezwa
|
||||
|
||||
Abrahamu alijiandaa kumtoa mwanae kuwa sadaka ya kuteketezwa. Mungu alimzuia kabla hajamuua kijana wake.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# alitembea kwenda eneo la kutolea sadaka
|
||||
|
||||
Mungu alimwagiza Abrahamu akamtoe Isaka sadaka juu ya mlima maalumu ambao ulikuwa umbali wa mwendo wa siku tatu kutoka alikokuwa anaishi.
|
||||
|
||||
# kuni kwa ajili ya sadaka
|
||||
|
||||
Kawaida, kondoo aliuawa kwa ajili ya sadaka na kuwekwa juu ya kuni ili kwamba kuni na sadaka viungue pamoja.
|
||||
|
||||
# mwanakondoo
|
||||
|
||||
mwanakondoo au mbuzi ndiyo walikuwa wanyama wanaostahili kwa sadaka.
|
||||
|
||||
# atajipatia
|
||||
|
||||
Yawezekana Abrahamu aliamini kuwa Isaka ndiye alikuwa badala ya "mwanakondoo" ambaye Mungu alimpatia. Hata hivyo Mungu alitimiza maneno ya Abrahamu kwa kumpatia mwanakondoo kwa ajili ya sadaka.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# kumuua kijana wake
|
||||
|
||||
Mungu hakutaka sadaka ya binadamu bali alimpima Abrahamu kujua imani yake.
|
||||
|
||||
# Acha? usimdhuru kijana!
|
||||
|
||||
Mungu alimlinda Isaka na akamkinga Abrahamu asimdhuru.
|
||||
|
||||
# unaniogopa
|
||||
|
||||
Abrahamu alimwogopa Mungu. Hii ilijumuisha heshima na uchaji wa Mungu. Kwa sababu ya mambo hayo, alimtii Mungu.
|
||||
|
||||
# kijana wako wa pekee
|
||||
|
||||
Ishimaeli pia alikuwa mtoto wa Abrahamu, lakini Isaka ndiye alikuwa mtoto wa Abrahamu na Sarai. Agano la Mungu na Abrahamu lilikuwa juu ya Isaka.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Mwanambuzi
|
||||
|
||||
Mwanambuzi ni mbuzi dume.
|
||||
|
||||
# Mungu alimpatia mwanambuzi
|
||||
|
||||
Kwa muda muafaka, Mungu alimleta mwanambuzi aliyenaswa kwenye kichaka.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Mwanao wa pekee
|
||||
|
||||
Isaka ndiye alikuwa mtoto pekee wa Abrahamu na Sarai.
|
||||
|
||||
# nyota za angani
|
||||
|
||||
uzao wa Abrahamu ungekuwa kama nyota angani, hauhesabiki
|
||||
|
||||
# familia zote duniani
|
||||
|
||||
neno "familia" hapa linamaanisha kundi fulani la watu duniani, licha ya wazazi na watoto.
|
||||
|
||||
# umebarikiwa kupitia familia yako
|
||||
|
||||
hapa familia ina maana ya uzao mkubwa ambao Abrahamu angepewa.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# Alimtuma mmoja wa watumishi wake.
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafasiriwa kuwa "alimwambia mmoja wa watumishi wake kurudi nyuma." Neno "nyuma" linamaana kuwa mtumishi anatakiwa arudi sehemu ambayo Ibrahamu aliishi miaka mingi iliyopita kabla hajaenda Kaanani. Hakikisha tafsiri ya sehemu hii ina maana kamili.
|
||||
|
||||
# Kwenye ardhi.
|
||||
|
||||
Ardhi hii ilikua mashariki ambapo Ibrahamu alikuwa akiishi sasa hivi.
|
||||
|
||||
# Kumleta mke kwa ajili ya mtoto wake Isaka.
|
||||
|
||||
Hii iinaweza kutafasiriwa kama "kumleta mwanamke ambae hajaolewa ili mwanae Isaka amuoe."
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Mjukuu wa kaka yake na Abrahamu.
|
||||
|
||||
Alikua binti wa mtoto wa kaka yake na Abrahamu. Babu yake alikuwa kaka yake na Abrahamu.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Rebeka alikubali
|
||||
|
||||
Japokuwa wazazi wa Rebeka walipanga ndoa yake, hawakumlazimisha kwenda kuolewa na Isaka.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Ahadi.... zilizorithishwa
|
||||
|
||||
Ahadi za agano ambalo Mungu aliweka na Abrahamu hazikuwa kwa ajili yake tu, bali kwa ajili ya kizazi chake.
|
||||
|
||||
# Isiyohesabika
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafasiriwa kama "nyingi sana." Neno "isiyohesabika" ina maana vitakuwepo vizazi vingi ambavyo watu watashindwa kuvihesabu.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Tumboni mwa Rebeka
|
||||
|
||||
Hii ni, "ndani ya tumbo lake."
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Toka wa wanawe wawili
|
||||
|
||||
Hii ni, "kutoka kwenye uzao wa watoto wawili."
|
||||
|
||||
# Watashindana wenyewe kwa wenyewe
|
||||
|
||||
Watoto wote wawili na taifa ambalo litatokana na wao wataendelea kushindana.
|
||||
|
||||
# Mtoto mkubwa
|
||||
|
||||
Japokua watoto walikua mapacha, mtoto anayezaliwa wa kwanza ndiye anayepewa nafasi kama mtoto wa kwanza.
|
||||
|
||||
# Kumtumikia mdogo
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafasiriwa kama, "mwana mdogo anatakiwa kufanya yale atakayoambiwa na mkubwa ayafanye."
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Watoto wa Rebeka walizaliwa.
|
||||
|
||||
Lugha nyingine zina njia tofauti ya kusema haya kama, "pale Rebeka alipowaona na kuwachukua" au, "pale Rebeka alipowaleta kwenye mwanga."
|
||||
|
||||
# Mtoto mkubwa ..... mtoto mdogo
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafasiriwa kuwa, "mtoto atakayekuja kwanza ... mtoto wa pili atakayekuja." Hakikisha kuwa namna ambavyo "mkubwa" na "mdogo" inatafsiriwa iendelee kuleta maana kuwa watoto hawa ni mapacha.
|
||||
|
||||
# Nyekundu
|
||||
|
||||
Hii inaweza kumaanaisha kuwa ngozi yake ilikua nyekundu sana au nywele katika mwili wake zilikua nyekundu.
|
||||
|
||||
# Nywele
|
||||
|
||||
Esau alikua na nywele nyingi mwilini mwake. Waweza kusema kuwa "mtoto mkubwa alikua mwekundu na mwenye nywele nyingi."
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# Alipenda kukaa nyumbani ... alipenda kuwinda
|
||||
|
||||
Lugha nyingine hutumia neno "kupenda" ambavyo ni tofauti na ilivyotumika hapa, "Rebeka alimpenda Yakobo." Kwa mfano hii inaweza kutafasiriwa kama "alipenda kukaa nyumbani" ... "alipenda kuwinda" au "alipendelea kukaa nyumbani" ... "alipendelea kuwinda."
|
||||
|
||||
# Nyumbani
|
||||
|
||||
Maelezo haya yanaelezea ni eneo ambalo familia wanaishi. Yakobo alipenda kukaa karibu na hema sehemu walipoishi. Lugha nyingine zina maelezo ya kipekee juu ya "nyumba."
|
||||
|
||||
# Rebeka alimpenda Yakobo, ila Isaka alimpenda Esau.
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafasiriwa kama "Rebeka alimpenda sana Yakobo na Isaka alimpenda sana Esau." Hii haimaanishi kuwa Rebeka na Isaka hawakumpenda mtoto mwingine lakini kila mzazi alikua naupendeleo wake.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Nipe mimi sehemu ya chakula ... nipe mimi haki zako
|
||||
|
||||
lugha nyingine zingependelea kutumia maneno mawili tofauti kwenye neno "nipe." Hii pia hutumika kama "Esau alimpa ... Yakobo alimpa" kwenye sentensi mbili za mwisho.
|
||||
|
||||
# Haki kama mtoto mkubwa
|
||||
|
||||
Kutokana na desturi, kwa kuwa Esau alikua mtoto mkubwa, alipaswa kupokea mara mbili ya utajiri wa baba yake endapo baba yao atafariki. Ykobo alitafta njia ya kuchukua haki za mtoto wa kwanza toka kwa Esau.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Akampa baraka zake
|
||||
|
||||
Ilikua desturi kwa baba kuelezea shauku zao juu ya mambo mema yatakayotokea kwa watoto wao. Kwa kawaida mtoto mkubwa anapokea ahadi nzuri. Isaka alitaka baraka zaidi zitokee kwa Esau.
|
||||
|
||||
# Alimdanganya kwa hila
|
||||
|
||||
Neno "hila" inamaanisha kufanya jambo kwa ajili ya kumdanganya mtu. Rebeka alikuja na mpango wa kumlaghai Isaka ampe Yakobo baraka ya pekee badala ya Esau.
|
||||
|
||||
# Kuigiza
|
||||
|
||||
Neno "kuigiza" linaonesha namna ambavyo Yakobo alimdanganya baba yake (aliyekua na uwezo mdogo wa kuona kutokana na umri wake kuwa mkubwa).
|
||||
|
||||
# Ngozi ya mbuzi
|
||||
|
||||
Manyoya yaliyopo katika ngozi ya mbuzi yalingemfanya Yakobo aonekane kama Esau.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Yakobo akaja kwa Isaka
|
||||
|
||||
Kwenye lugha zingine inaweza kuwa na uhalisia zaidi kwa kusema "Jakobo alikwenda kwa Isaka."
|
||||
|
||||
# Alidhani kuwa ni Esau.
|
||||
|
||||
Alidhani kuwa mtu aliyemshika na kusikia harufu yake alikua Esau.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Haki kama mtoto wa kwanza
|
||||
|
||||
Yakobo alitafta namna ya kupata sehemu kubwa ya mali ya baba yake iliyotakiwa kwenda kwa Esau kama mtoto wa kwanza.
|
||||
|
||||
# Baraka yake.
|
||||
|
||||
Yakobo pia alimlaghai baba yao katika kumpa yeye ahadi ya utajiri wa baraka ya kipekee ambayo Isaka alikusudia kumpa Esau.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Mpango ya Esau
|
||||
|
||||
Mpango wa Esau ulikua ni kumuua Yakobo baada ya kifo cha baba yake.
|
||||
|
||||
# Rebeka na Isaka wakamtuma Yakobo.
|
||||
|
||||
Rebeka alitaka kumlinda Yakobo toka kwa Esau hivyo akaongea na Isaka juu ya kumtuma yakobo aende zake.
|
||||
|
||||
# kwenda mbali kuishi na ndugu zake
|
||||
|
||||
Hii ilikua sehemu ile ile ambayo Rebeka aliishi kipindi ambacho mtumwa wa Ibrahamu alimchukua kuwa mke wa Isaka. Kuliweka hili wazi unaweza kuongeza kuwa "ndugu wa ardhi ile ile alipokua akiishi." Arhi ile ilikua mashariki, umbali wa maili mamia.
|
||||
|
||||
# Ndugu zake
|
||||
|
||||
hii inaweza kutafsairikwa kama "ndugu zao" Kwa kuwa kaka yake na Abraham alikua babu yake na Rebeka, ndugu zake na Rebeka pia walikua ndugu wa Isaka.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Utajiri
|
||||
|
||||
Hii inajumuisha pesa, kundi kubwa ya wanyama na vyote alivyomiliki.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Baada ya miaka ishirini.
|
||||
|
||||
Yakobo aliishi miaka ishirini kwenye nchi aliyotoka mama yake. Kama hiyo haijaeleweka unaweza kusema "Baada ya miaka ishirini akiishi katika nchi ambayo ndugu zake waliishi pia."
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Mtumishi wako Yakobo
|
||||
|
||||
Yakobo hakika hakua mtumishi wa Esau. lakini alimwambia watumishi wake kusema hivi kwa sababu alitaka kumuonyesha Esau kuwa alimwendea kwa unyenyekevu na heshima ili Esau asiendelee kua na hasira juu yake.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Waliishi kwa amani
|
||||
|
||||
Hii inaelezea kuwa Esau na Yakobo hawakukasirikiana na kugombana wao kwa wao.
|
||||
|
||||
# Wakamzika
|
||||
|
||||
Hii inaweza kumaanisha kuwa walichimba shimo kwenye ardhi wakauweka mwili wa Isaka na kufunika shimo hilo kwa kutumia udongo au jiwe. au inaweza kumaanisha kuwa waliuweka mwili wa Isaka kwenye pango na kufunika sehemu ya wazi.
|
||||
|
||||
# Agano la ahadi
|
||||
|
||||
Hizi ni ahadi alizozifanya Mungu kwenye agano lake na Ibrahamu.
|
||||
|
||||
# Ikapita toka kwa Isaka kwenda kwa Yakobo
|
||||
|
||||
Ahadi zilizotoka kwa Ibrahamu kwenda kwa mwanawe Isaka na sasa twenda kwa Yakobo mtoto wa Isaka. Esau hakuzipokea ahadi.
|
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# Alimtuma
|
||||
|
||||
Neno hili linamaanisha Yakobo alimwambia Yusufu aende na Yusufu akaenda.
|
||||
|
||||
# Mtoto aliyependwa
|
||||
|
||||
Hii inaweza kutafasiriwa kama "mtoto aliyempendwa zaidi kuliko watoto wengine."
|
||||
|
||||
# Kukagua
|
||||
|
||||
Hii inamaanisha Yusufu alienda na kuangalia kama kila kitu kipo sawa kwa ndugu zake. Lugha nyingine zinaweza kusema "kuangalia hali ya kaka zake."
|
||||
|
||||
# Kaka
|
||||
|
||||
Hawa walikua kaka zake wakubwa na Yusufu.
|
||||
|
||||
# Kuangalia kundi la mifugo
|
||||
|
||||
Kwa kuwa ilikuwa safari ya siku kadhaa, unaweza kusema "waliokuwa mbali wakichunga mifugo."
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# Alikwenda kwa kaka zake
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kutafasiri hili ni "akafika eneo ambalo kaka zake walikuwepo."
|
||||
|
||||
# Kutekwa
|
||||
|
||||
Walimchukua kinyume na matakwa yake. Haikua sahihi kwa wao kufanya hivi.
|
||||
|
||||
# Wafanya biashara ya utumwa
|
||||
|
||||
Walikua watu waliofanya biashara ya kununua watu toka kwa mmiliki mmoja na kuwauza kama watumwa kwa mmiliki mwingine.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Damu ya mbuzi
|
||||
|
||||
Kaka zake na Yusufu walitaka Yakobo afikiri kuwa damu iliyokuwa katika nguo ni damu ya Yusufu.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Kiongozi wa serikali
|
||||
|
||||
Mtu huyu alikua sehemu ya serikali ya Misri. Njia nyingine ya kusema hivi ni "kiongozi katika serikali ya Misri."
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# Akajaribu kulala na Yusufu
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema hivi ni "alijaribu kumshawishi Yusufu awe naye kimwili." "Kulala na" ni njia ya kuelezea ili kuepuka kuwa neno la kuchukwaza.
|
||||
|
||||
# Kumtenda Mungu dhambi
|
||||
|
||||
Ni kinyume na amri za Mungu kwa watu kulala pamoja kabla hawajaoana. Yusufu hakutaka kufanya dhambi kwa kutokutii amri za Mungu.
|
||||
|
||||
# Kuendelea kuwa mwaminifu kwa Mungu
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema haya yaweza kuwa "kuendelea kumtii Mungu."
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# Ilimsumbua sana
|
||||
|
||||
Hii inamaanisha kuwa Mfalme aliogopa na kuchanganyikiwa (kwa sababu ya alichokuwa amekiona kwenye ndoto).
|
||||
|
||||
# Washauri wake
|
||||
|
||||
Walikua wanaume wenye uwezo na maarifa ya pekee wenye uwezo wa kueleza maana ya ndoto. Tafsiri nyingine zinawaelezea kama "wazee wenye hekima."
|
||||
|
||||
# Maana ya ndoto
|
||||
|
||||
Watu wa Misri waliamini kuwa ndoto zilikua na ujumbe toka kwa miungu ikiwaambia kitakachotokea baadaye. Mungu alitumia ndoto za Farao kumwambia kitakachotokea.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Kutafsiri ndoto
|
||||
|
||||
"Kutafsiri" ni kusema maana ya kitu fulani. Hivyo Yusufu alikua na uwezo wa kuwaambia watu maana ya ndoto zao.
|
||||
|
||||
# Yusufu aletwe kwake
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema hivi inaweza kuwa "aliwaamuru watumishi wake wampeleke Yusufu kwake."
|
||||
|
||||
# Mungu atatuma
|
||||
|
||||
Mungu atasababisha mazao yakue vizuri kwa miaka saba na baada ya hapo atasababisha wazalishe chakula kidogo sana ili watu na wanyama wasiwe na chakula cha kutosha.
|
||||
|
||||
# Njaa
|
||||
|
||||
Bustani na mashamba yatazalisha chakula kidogo sana hivyo watu na wanyama hawatakua na chakula cha kutosha.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Alishawishiwa na
|
||||
|
||||
Farao alishangazwa na hekima za Yusufu na akampa heshima. Alimuamini Yusufu afanye maamuzi yenye hekima ambayo yatawafaidisha watu. Ingekua sahihi kusema "alishawishiwa na hekima za Yusufu."
|
||||
|
||||
# Mtu wa pili mwenye mamlaka makubwa
|
||||
|
||||
Farao alimfanya Yusufu kuwa mwenye nguvu na kiongozi wa muhimu sana katika Misri. Farao tuu ndiye aliyekua mwenye nguvu na muhimu kuliko Yusufu.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Kuhifadhi vyakula vingi.
|
||||
|
||||
Walichukua vyakula toka kwenye mavuno mengi na kupeleka mijini na kuvihifadhi huko. Hivyo vyakula vikawa vya Farao.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Misri lakini pia Kaanani
|
||||
|
||||
Kwenye lugha nyingine inaweza kueleweka vizuri au kua na uhalisia zaidi ukisema "nchi ya Misri, lakini pia nchi ya Kaanani."
|
||||
|
||||
# Njaa ilikua kali
|
||||
|
||||
Njaa ilikua mbaya sana. Kulikua na chakula kidogo sana na watu wengi nje ya Misri walikua na njaa kali.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Watoto wake wakubwa
|
||||
|
||||
Hawa walikua kaka zake wakubwa na Yusufu waliomuuza utumwani.
|
||||
|
||||
# Hawakumtambua Yusufu
|
||||
|
||||
Hawakujua kama yule mtu ni Yusufu, kwa kuwa sasa Yusufu alikua na umri mkubwa tofauti na mara ya mwisho walipomuona na alikua amevaa kama kiongozi wa Wamisri.
|
|
@ -0,0 +1,15 @@
|
|||
# Aliwajaribu kaka zake
|
||||
|
||||
Yusufu aliwaweka kaka zake wakubwa kwenye wakati mgumu kuona kama watamlinda mdogo wao au watamtendea mabaya kama walivyomtendea Yusufu. Walipomlinda mdogo wao Yusufu akajua kuwa wamebadilika.
|
||||
|
||||
# Kama wamebadilika
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema hivi ni, "kama wamekua tofauti na walivyokua." Miaka iliyopita kaka zake na Yusufu walimuuza utumwani. Yusufu alitaka kujua kama sasa wapo tayari kufanya yaliyo mema.
|
||||
|
||||
# Msiogope
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema hivi ni, "Hampaswi kuogopa adhabu yoyote toka kwangu." Kaka zake Yusufu waliogopa kwa sababu walimkosea sana Yusufu na sasa kama kiongozi mkubwa ana mamlaka ya kuwaadhibu. Yusufu angekataa kuwauzia chakula, au hata kuwaweka gerezani au kuwaua.
|
||||
|
||||
# Ubaya kwa wema
|
||||
|
||||
Kaka zake Yusufu wakafanya yaliyo mabaya kwa kumuuza Yusufu kama mtumwa na akapelekwa Misri. Lakini Mungu aliliruhusu hilo ili Yusufu awahudumie maelfu ya watu toka katika njaa ikiwemo familia yake yenyewe. Hili lilikuwa jambo zuri sana.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Japokuwa Yakobo alikua mzee alienda Misri
|
||||
|
||||
Kulikua na umbali toka Kaanani kwenda Misri na ilikua vigumu kwa mzee kutembea au kuendesha mkokoteni kwa umbali huo.
|
||||
|
||||
# Kabla Yakobo hajafa
|
||||
|
||||
Yakobo alifia Misri. Hakuweza kurudi Kaanani nchi ambayo Mungu alimuahidi kumpa yeye pamoja na uzao wake.
|
|
@ -0,0 +1,11 @@
|
|||
# Agano la ahadi
|
||||
|
||||
Muda mrefu uliopita Mungu aliweka makubaliano na Ibrahamu kuwa atampa uzao mwingi, wataimiliki ardhi ya Kaanani na kuwa taifa kubwa. Mungu pia aliahidi kua watu wote watabarikiwa kupitia uzao cha Ibrahimu.
|
||||
|
||||
# Kurithisha kwa
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema hivi yaweza kuwa "kurithisha kwa" au "kumpa" au "kutumika kwa." Ahadi za Mungu kwa Ibrahimu pia zilikua kwa watoto wake na wajukuu na kwa uzao wake wote. Tazama pia maelezo katika OBS 6-4.
|
||||
|
||||
# Makabila kumi na mbili ya Israeli
|
||||
|
||||
Mungu alimuahidi Ibrahimu, Isaka na Yakobo kuwa uzao wao utakua taifa kubwa. Baadae Mungu alibadili jina la Yakobo kuwa Israeli. Kuzao wa watoto 12 wa Yakobo ukawa makabila makubwa 12. Makabila haya 12 yalitengeneza taifa lililoitwa Israeli ambalo liliitwa kwa jina jipya la Yakobo.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Waliitwa waisraeli
|
||||
|
||||
Kundi la uzao wa Yakobo uliitwa "Israeli" ambalo ni jina alilopewa Yakobo na Mungu. Watu wa kundi lile waliitwa "Waisraeli."
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Farao
|
||||
|
||||
"Farao" ni neno la kimisri linalomaanisha kuwa mfalme wao. Yawezekana Farao huyu alikua ni mtoto wa Farao aliyekufa, ambaye ni uzao wa Farao aliyefahamika na Yusufu.
|
||||
|
||||
# Kuwafanya wana wa Israeli watumwa
|
||||
|
||||
Hiyo ni "kuwalazimisha waisraeli kufanya kazi ngumu kinyume na matakwa yao na kuwatumikisha kwa ukatili mbaya."
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Mateso
|
||||
|
||||
Hii inamaanisha waliteseka sana kwa sababu ya namna walivyotumikishwa na kulazimishwa kufanya kazi. Walikatishwa tamaa.
|
||||
|
||||
# Mungu aliwabariki
|
||||
|
||||
Mungu aliwajali na kuwawezesha kuvumilia mateso na pia kuwawezesha kuwa wengi kwa kuwapa watoto.
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Kuona
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema neno hili ni "aligundua" au "alijua."
|
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
# Kwa kwadri walivyoweza.
|
||||
|
||||
Walimficha mtoto toka kwa waisraeli mpaka ilipokua ngumu kumuweka mtoto katika hali ya usalama nyumbani kwao.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Mto Nile
|
||||
|
||||
Ukweli
|
||||
Nile ni mto uliopo kaskazini mashariki mwa Afrika
|
||||
>Mto Nile unapita Misri na kumwaga maji yake bahari ya Mediteranian.
|
||||
>Mazao yalikua vizuri kwenye bonde lenye rutuba
|
||||
>wamisri wengi waliishi karibu na Mto Nile kwa kuwa ilikua ni chanzo muhimu cha maji na mazao ya chakula.
|
|
@ -0,0 +1,7 @@
|
|||
# Alimchukua kama mtoto wake
|
||||
|
||||
Alikuwa mtoto wa kike wa mfalme. Alipomfanya musakuwa mwanawe, Musa akawa mtoto wa kiume wa mfalme Misri.
|
||||
|
||||
# Kumlea
|
||||
|
||||
Njia nyingine ya kusema hivi ni "kumyonyesha yule mtoto Musa."
|
Some files were not shown because too many files have changed in this diff Show More
Loading…
Reference in New Issue