swc-x-swakatanga_eph_text_reg/05/18.txt

1 line
397 B
Plaintext

\v 18 mushi lewe vinio : ni bucharati. mukuye , kwanza , benye ku djaziwa na Roho Mutakatifu ; \v 19 mu patane kupitiya ma zaburi , mamimbo , na kupitiya mimbo ya kiroho , mu imbe na kushukuru na roho yenu yote matukuzo ya Bwana; \v 20 Murudishi kila wakati neema dju ya bintu biote kwa Mungu Baba, mu djina ya Bwana wetu Yesu-Kristo, \v 21 Mu rishushe ba moya kwa bengi dani ya Boka bwa Kristo.